Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hello group kwa wale form six wanaopenda kusoma kozi hasa za afya karibu chuo kikuu cha st john university Bachelor of pharmacy Bachelor of science in nursing nafazi ni chacheee Niulize...
1 Reactions
45 Replies
8K Views
Wana jamvi kama tittle inavo jieleza apo nlikua nauliza hivi kwa nini mwaka huu wamechelewa kutoa majina ya watu waliochaguliwa kujiiunga na diploma na certificate kuoitia Nacte Sent using Jamii...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Dogo kachaguliwa vyuo viwili tofauti kwa ngazi ya ordinal diploma....moja pharmacy nyingine water quality laboratory...ipi ipo poa kat ya hzo kimaslah ajira(kuajiriwa) au kujiajiri...ahsante
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu wa Jamii Forum Ningeomba tujuzane hapa katika uzi huu, Tatizo linaloweza kusababisha mtu asijiamini na afanye kipi ili kuepuka tatizo hili maana limeshamili sana hasa kwa vijana wa sasa...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Nina ndugu yangu amehitimu kidato cha sita ila kuna mtu mwingine amejisajili kuomba mkopo kwa kutumia taarifa namba yake ya kidato cha nne kimakosa na akaachia usajili katikati baada ya kukosea...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kutokana na mabadiliko ya maombi ya vyuo kutoka NACTE imetulazimu watu wengi kuomba vyuo zaidi ya kimoja na kozi tofautitofauti(vyuo vya kati), ili kujiwekea uhakika zaidi wa kupata chuo/nafasi...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Habarini za mida ndugu zanguni!!!! Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu hiv kwa mfano mtu aliye fanya application na anvigezo vyote ikatokea hajachaguliwa chuo cha government kutokana na...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Wana jukwaa sasa ni wiki nzima nashindwa kufanya editing kwenye PRELIMINARY INFORMATION kipengele cha APPLICANT disability... nikijaribu kuweka NONE inagoma na kuandika OTHERS. Nimejaribu sana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanazuoni naomba orodha ya vyuo vikuu vilivyopo jijini Mwanza. Nafanya study hiyo ni sehemu ya data ninazozihitaji! Sent from my TV
0 Reactions
13 Replies
13K Views
Kuna tetesi nimeskia kuwa waliosoma certificate na kuaply kozi tofauti na walizosomea na kuaply nyingne kwenye ngazi ya diploma hawatachaguliwa...je ni kweli jaman?inakuwaje kwa aliyeaply coz ya...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Napenda kuuliza nasikia ya kwamba pia walioomba diploma pia wanaomba mikopo????
0 Reactions
45 Replies
11K Views
Naomba kuuliza kuwa, sijapangiwa post ya kidato cha tano lakini nimebalance comb, je kuna uwezekano wa kwenda TAMISEMI kwenda kuomba wanipangie shule? Kama inawezekana naomba mnambie Sent using...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Salamu wana Jamii Forum. Naomba kama kuna mtu anafahamu Chuo Chochote cha AIR HOSTESS hapa nyumbani au Kenya anijulishe. Nahitaji kumpeleka dogo ambaye amemaliza O Level. Nitashukuru kama...
0 Reactions
7 Replies
12K Views
Km ww unajijua ulifaulu kwa mazabe kupiga kijicho kwa rafk yako, madem kuandika majibu kwenye mapaja yenu nyie msiangaike kuomba mkopo Tuachien hii ngoma tucheze vipanga nyie mkasome diploma uko...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
nilifanya application online ya English Medium Bachelor of Medicine Bachelor of Surgery,(MBBS) CHINA katika CHANGSHA MEDICAL UNIVERSITY nime pewa taarfa kuwa nimekua approved.... tafadhari...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi Elimu ya Juu imeongeza muda wa maombi ya mkopo hadi tarehe 11 Septemba kutoka Septemba 4 ambayo ilikuwa mwisho. Mkurugenzi Mtendaji HESLB, Abdul-Razaq Badru asema...
3 Reactions
56 Replies
10K Views
List of Online Applicants for Ordinary Diploma and Bachelor Degree Programmes for the Academic year 2017/2018 - Batch V Applicants List for Ordinary Diploma and Bachelor Degree Programmes for...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yaaan application za loan bord mbn zinamashariti mengi sana jaman daah Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
8 Replies
2K Views
1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali, Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili, Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali, Wakataka na kauli iwafae maishani. 2. Akatamka mgonjwa, ninaumwa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana JF husika na kichwa cha habari juu, kwa wale waliowahi kupita pale tunaomba kujua mambo machache kama vile ratiba za pale na mengineyo. Karibuni
0 Reactions
36 Replies
14K Views
Back
Top Bottom