Heshima zenu wakuu naomba mwenye kujua chuo cha mwlm nyerere kigambon kwa upande wa coz zingene mbali na ualimu naomba kujua kwamba wakoje kuhusu ufundishaji waoh e.g accounts,procurement, record...
Habar wanajf,
Nina Mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana huko mkoani na akapata division 3 ya 25
Dogo akapangiwa ualimu lakini yeye ndoto yake ni kusoma mambo ya afya so ualimu akagoma...
Wadau jirani yangu anauliza kama kuna mtu ana mwanafunzi anayesafiri kimasomo kwenda china tarehe 09/09/2017 kwa kutumia ndege ya ETIHAD ili waweze kupeana company.
Samahani wakuu poleni na majukumu ya kila siku ...
Naomba msaada kwa wenye uelewa na hili,
HESLB hutoa mikopo kwa wanafunzi wa private na government sasa kuna uvumi kua kiwango cha utoaji mikopo...
Rai yangu kwa bodi ya mikopo na serikali hakikisheni wanafunzi wa elimu ya juu wanapata mikopo pasipo kubaguliwa kwa namna yeyote ile.
Tusitumie vigezo vya kusema hawa ni private na hawa wamesoma...
Ndugu watanzania na wahasibu wenzangu , napenda kuchukua nafasi hii adimu kwa kueleza kilio changu kuhusu hii bodi ya wahasibu na wakaguzi wa mahesabu Tanzania (NBAA).
kWA KWELI BODI HII IMEUNDWA...
Hello members poleni na majukumu, Leo nilitaka niweke wazi sintofahamu ya utofauti kati ya mtu mwenye degree ya account + cpa na yule mwenye degree isiyo ya account lakini ana cpa.
Utofauti...
*Anaandika Comred KAMWELA. A. D*
*Walimu kipo cha Kujifunza Kupitia Mwalimu wa Hai*
Ni alfajiri Mwanana ambayo katujaalia Yarabi.....
Nikiwa na desturi ya kuamka mapema na kupitia kurasa...
Habari zenu wadau...
Bila kupoteza muda.
Nimekuja hapa nikiwa nahitaji ushauri na mawazo toka kwenu maana humu Kuna wazoefu wa maswala mbali mbali.
Nina mdogo wangu wa kiume alimaliza kidato cha...
Habari wana JF
Ningependa kufafanuliwa kwa kina Vp wanafunzi wa Hasahasa Primary wanakuwa na utoro mashuleni
Hii ni kwa watoto wa kitanzania tu sio sehemu nyengine
Sent using Jamii Forums mobile app
I found this Huge Collection of Latest Materials to share with you Guys!
Materials include Books and Exam Practice and revisions from F1 to P7
Governance risks and ethics
Audit and assurance...
Mi ni mmoja wa victims wa second round application na nimechagua automobile eng ya NIT kozi hii ni miaka 4, na mkopo ina priority ningependa kujua ukweli kuhusu hii kozi kama ni ngumu na vipi...
Nimefanya kosa wakati wa kujaza form ya sokoine university, nime-submit kabla sija - upload copy ya vvyeti vya f4 na f6. Sasa nikijaribu kuedit ku-upoad inagoma na kusema no file selected. What...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.