Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nina mdogo angu alipata 4 ya 27 yuko nyumban adi saiv.. Naomben ushaur ni chuo gan kinamfaa cha serikali kwa sabab ataki kurudi shul tena na alisoma arts na ana F ya mathe tuu
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mm nategemea kuingia chuo mwez wa tisa kwa cz ya procurement and supply kwaiyo nlikua naomba kama kuna MTU kasomea cz iyo anisaidie notice kwakua ndo kwanza naanza certificate Msaada ndugu zangu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Heshima mbele wadau. Kama kuna mtu yeyote unamfaham ambae amekuwa certified na RedHat yaani REDHAT CERTIFIED SYSTEM ADMINISTRATOR (RHCSA) Naomba unijulishe hapa au inbox. Natanguliza shukrani
1 Reactions
1 Replies
844 Views
Nimemaliza diploma ya Mifugo tangu last year NACTE wanachelewesha vyeti walisema 12 August 2017 lakini hamna kitu na kazi zimetoka, je tunafanyaje jamani? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jamii forum naombeni kuuliza mwanangu amechaguliwa 2nd selection Shule ya Namabengo High School, ipo ktk Wilaya ya Namtumbo - Ruvuma, Swali langu ili afike huko shuleni akitokea Dar es salaam...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Naomba kuuliza kUna baadhi ya vyuo ni kwelI wameshaanza kutuma Confimation kwa wanafunzi walio apply vyuon kwao? NAULIZA. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
2K Views
WanaJF naomba tukumbushane mambo kadha wa kadha kuhusu shule zetu hizi mbili na kongwe zaidi Tanzania...mimi ni mmojawapo kati ya waliobahatika kuwa Mboyzia au mwana Berlin form 5&6 na najua...
0 Reactions
54 Replies
22K Views
Naomba kuuliza je kujiunga na mafunzo ya VETA mwaka 2017/2018 kwenye chuo cha serikali Veta Iringa ni lini na Je ni muda gani wa kuomba kujiunga na chuo cha ualimu wa veta MOROGORO kwa mwaka huu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
0 Reactions
1 Replies
805 Views
Naomba kwa alie na ujuzi juu ya hili WAKUU hasa katika selection za vyuo vya afya Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
920 Views
Jamani, mwenye taarifa yoyote kuhusu SELECTION vyuo hivi vya kilimo MATI's atujuze mishe zikoje na zitatoka lini. Maana wengine tumeomba toka mwezi May till now hatujui linalojiri na deadline...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shikamoni wakubwa, kama kawaida yetu naomba msaada fasta computer kabla haijazima, nilikuwa naregister TCU kuna sehemu imeandikwa voucher naomba kujua unajaza nini. Nimehisi ni hela je unalipa kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu kama ilivyo hapo juu,kama kuna mhenga yoyote aliyepita hapo naomba tukumbushane kwa Yale tuliyaona na kujifunza ktk kisima hiki cha academy.Asanteni naomba niwakaribishe. Sent using Jamii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wakuu. Naomba niende moja kwa moja kwenye dukuduku langu. Katika kufuatilia na kufanya michakato mbalimbali katika uombaji wa mkopo nimekumbana na changamoto nyingi ambazo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani ambaye anajua kinacho endelea kuhusu second selection za vyuo maana zilizo toka zote ni shule na kunabaadhi hawajapangiwa msaada more information Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
3K Views
habari zenu jamani kwa anaeijua lupa secondary vizuri anijuze Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mihangaiko wana jf, mwenye uelewa kuhusu course zinazotolewa na chuo cha swisport kilichopo airport Dar es salaam ningependa kuuliza kuhusu ajira za hizo course tofauti na kufanya kazi...
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Naombeni kufahamishwa jinsi ya kuangalia capacity ya chuo kuaply na namna ya kuangalia namba ya watu walioaply tayari. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa zimebaki siku tano mwisho wa kupokea wanafunzi wanao apply kwa certificate hadi degree so fanyeni budi mwisho tar 30/8 ingia www.mnma.ac.tz ujisajili ada kitonga tyuuuuu!!! Sema kama...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Nakaribisha mjadala wa kujadili fursa na changamoto tunazokumbana nazo mtaani kwa sasa ili kuweza kuwasaidia vijana waliopo chuoni kujifunza ili wajiandae namna ya kukabiliana nazo.. Lakini pia...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom