Mimi ni mwalimu,hivi karibuni niliomba uhamisho ndani ya wilaya kwa kujigharamia mwenyewe ili nisogee karibu na familia yangu.
Cha ajabu nimekuja kujibiwa barua inasema yahusu kujibu barua yako...
Habari za jioni wadau.
Naomba kwa yeyote ambaye amefanikiwa kutuma maombi ya uhakiki rita na akajibiwa, tufahamishane hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
TANGAZO KWA UMMA
OR-TAMISEMI imetangaza majina ya wanafunzi wa kujiunga na Kidato cha Tano kwa awamu ya pili tarehe 23 Agosti, 2017. Wanafunzi hawa ni miongozi mwa wanafunzi 34,727 wakiwemo...
Naandika ili kama taasisi hizi wanapita hii forum wajue utata wanaosababisha - Rita, heslb pamoja na TCU.
Leo nimeenda kuhakiki cheti cha kuzaliwa binti yangu wilayani wakaniambia nikipeleke kule...
Mdogo wangu amechaguliwa shule hiyo chaguo la pili inaonekana iko Mwanza lakini siipati shule hiyo kwenye mkoa wa mwanza ninapoitafuta,ninashida na joining instruction ya shule hiyo ili...
Ndugu wana jukwaa poleni na shughuli za kulijenga taifa.
Niende moja kwa moja kwenye mada husika ,kwa ndugu Zangu wataaramu wa mitandao naomba kusaidiwa kuhusu njia au program maarumu ya kurudisha...
Wadau nimemuombea mdogo wangu chuo kikuu cha Bugando lakini nikawa sijakamilisha kitu kidigo sikumaliza, nikata kuendelea tena siku ya pili lakini cha kushangaza wiki ya pili hii system yao...
Serikali ya Tanzania imebuni njia mpya ya kufanya mtihani kwa kutumia penseli! wizara ya elimu imelazimisha wanafumzi wa darasa la saba kufanya mtihani wao utakaoanza tar6na 7 mwezi 9 kwa kutumia...
Habar wana jf kuna dogo kanitumia tokeo lake ana D nne za civcs,geography,engl,bios na C ya kiswas anataka nimshaur course ya kwenda kusomea kwa ngaz ya chet[emoji310] [emoji187]
Amani iwe nanyi waungwana,
Husika nakichwa hapo juu,marehem baba alifia nje ya nchi sasa niliwafata RITA kwaajili ya kupata cheti cha kifo na wao wanasema hawatoi cheti cha kifo kwa mtu aliefia...
[emoji18] [emoji18] [emoji19] huu ndo mwanzo wa kuwa bashite maana 3 tunazo ila tunakua sawa na walo pata OOO
Yan fanyeni muwakumbushe tamisemi kuwa mtaani maisha c mazur jama
[emoji120]...
Habari wadau,
Naomba msaada kwa yeyote anayefahamu , shule nzuri ya English medium ngazi ya nursery. Kama ukiweza kunishirikisha mawasiliano yao , kama vile namba ya simu , link ya ukurasa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.