Habari wakuu,natafuta kitabu hiki,problem from hell,by Samantha power,mwenye nakala tafadhali,soft copy,au jinsi ya kukipata naomba msaada.
Asalaam aleikum
Habarini wakuu....hvi hii course ya water quality and laboratory technology kutoka chuo cha maji ubungo ina uwanja mkubwa wa ajira kweli? Naomba mwenye uelewa anijuze nsije zama nkajikuta nasugua...
Ni kweli nilikuwa naipenda sana Electrical/Telecoms Engineering, labda kwa kuwa nilikuwa siifaham vizuri Civil Engineering! Wadau mkanishauri niisome hii kozi...Mkiwa na fact zenu kwamba ni pana...
.....Hello again.
.....wakuu tujadili,tufanye nini shule za serikali zifaulishe kama za private?
...Binafsi,nadhani kuweka/kuwalipisha school fees ndogo kwa wanafunzi,badala ya kusoma...
Wakuu poleni na majukumu.
Nina ndugu yangu hapa kashindwa kuendelea na chuo mwaka ujao wa masomo, alikuwa anachukua wit education MKWAWA. Matokeo yake ya kidato cha sita mwaka 2015 ni
GEO B+...
Habarini!!!! Na poleni na shughuli za kila siku...
Jaman naombeni msaada nataka "KU LOG IN" account ya mdogo wangu
Vyuo alivyoviomba MZUMBE na UDOM ni miongo
Sasa nmesahau sehemu ya username...
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kilaini iliyopo Bukoba vijijini na afisa elimu wa wilaya ya Bukoba wanahojiwa na polisi kwa kutokuchukua hatua kwa mwanafunzi anayeendelea na masomo akiwa na...
Habari za wakati huu wanajf
Madogo ndo hao Sasa lazima wafanye mtihani wa kidato cha sita.
Naomba ushauri wa course gani naweza kumpeleka dogo langu kwa matokeo haya:-
Chemistry-B
Biology-B...
Nina mtoto wa ndugu yangu ana umri wa takriban miaka 10 ni wa kiume, tumemtoa kijijini alikokuwa anaishi na baby Na Bibi Yake mzaa mama yake, lengo la kumchukua ni kutaka asome na kuondokana...
ZAIDI ya wanafunzi 30,000 wa vyuo vya elimu ya juu nchini kwa mwaka mpya wa masomo 2017/18, watanufaika na Sh bilioni 427 kutoka Bodi Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), huku wanufaika hao wakiwekwa...
Nidhamu ni kufanya kitu kwa weledi bila kusimamiwa.
Utovu wa nidhamu ni nini!? Ni kufanya vitu kwa kusudi bila kuheshimu nani anakutazama.
Kuwa na nidhamu kwa kila kitu unachofanya hata...
habari wanajf! Kwa mwenye uzoefu na maswala ya presentation za research proposals, nimekuwa shortlisted katika scholarship fulani hivi ambayo niliaply, Sasa nimetakiwa nikapresent na kudefend...
Hebu tusaidiane hapa wakuu,
Hivi kama unaaply chuo cha MUHAS unafikia sehemu ya Program selection unaambiwa " YOUR SELECTION OF PROGRAM MUST BE UNIQIE PLESE CORRECT AND SAVE IT"
Mbona kila...
Habari, naulizia chuo kinachotoa kozi ya medical attendant kwa dar es salaam ni kipi? Yaani Ile kozi ya wale wanaofanya kazi mahospitalini mara nyingi kusafisha safisha vifaa na wakati mwengine...
myelimu.com ni mtandao unaowaleta pamoja wanafunzi wote wa sekondari Tanzania kujadili masomo pamoja na maswala mengine mbalimbali ya kitaaluma.
Muanzilishi wa mtandao wa myelimu.com Bwana...
Habari wadau nimemaliza form four nikapata div 2 ya 21, ila sikusoma physics...ndo nataka nirudie hilo somo moja tu....
Je inawezekana? Kama wakitaka masomo mawili naweza nikasoma Physics na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.