Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu habar zenu...kuna jamaa yangu yuko mkoa kachelewa Ku verify vyeti vya diploma ili apate kuomba chuo akasome bachelor.. Nacte walitoa dead line mwisho 15 august... Je nimsaidiaje? Sent using...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hivi NACTE hawaongez mda wa application [emoji310] [emoji310] ?? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
985 Views
Asalam alaikum. Kama ilivyo topic hapo juu. Naomba kuuliza Vp computer Engineer Tanzania ina Soko. Na kama ina soko kazi zao ni zip na zipi. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu, Nitoeni tongotongi! Ufaulu huu ni GPA ngapi na CUT OFF ngapi?
0 Reactions
30 Replies
4K Views
kwa anajejua mazingira na ubora wa elimu itolewayo cbe Dom anijuze. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
855 Views
Naomba kujua kwa nini ada ya nursing and midwifery diploma (3,000,000) ni kubwa kuliko hata ya udaktari (1,880,000)? see NACTE admission book
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Msaada jamani mimi ni mwanafunzi wa ualimu elimu ya msingi (GRADE A TEACHER S COLLEGES ) Naomba msaada tovuti ya kupata past paper za NECTA Ualimu na material mbalimbali tofauti na THCL
0 Reactions
4 Replies
11K Views
1Bsc Of medical laboratory in clinical chemistry and Bad of medical laboratory general 2.Bsc of science in chemistry and Bsc of education with chemistry 3.Biotechnology Maaana ata sielewii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu polen kwa uchovu wa majukumu ya kila siku. Mimi mdogo wangu hana amani tangu wiki mbili ago form yake ya mkopo imenasa kwenye mtandao inamuambia system is busy na hajamaliza baadhi ya...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Wadau nimedisco chuo kwa kosa la kinidhamu,ninaweza kuaply chuo kingine? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
51 Replies
12K Views
jaman mm nmechaguliwa ardhi ila napata was was sana kama kweli kuna mademu wa kutosha maana nikiangalia hamna education,business administration,public administration wala hzo nyngne za arts kwa...
0 Reactions
92 Replies
9K Views
Wakuu habari ya wakati huu Alhamis moja maridhawa kabisa... Samahani hivi hawa St Joseph wamekuwa wakifanya udahili wao Buree ONLINE ukimaliza kutuma baada ya muda unatumiwa sms kuwa You are...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hwa wanapohitimu wanafanya kazi mahospitalini kwa nafasi zipi? TECHNICIAN CERTIFICATE IN NURSING= je ni sawa na nurse assistant/ attendant TECHNICIAN CERTIFICATE IN MEDICAL LABORATORY TECHNOLOGY=...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mimi ni kijana muajiriwa Natamani sana nijifunze program yoyote kwenye computer kupitia private chuo popote Dar pale tuu napokuwa na muda na fasi. Ratiba yangu inaweza kuwa tofauti na wanafunzi...
0 Reactions
3 Replies
831 Views
Wakuu... Baada ya kumuona ndugu yangu erick shigongo anarudi shule(chuo) Sasa nimejihakikishia kutoka moyoni mwaka huu...Naanza kusoma QT nikimaliza naingia degree tena ya science nataka niwe...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hisika na mada kama uliomba chuo chochote cha kilimo cha kiserikali majibu yametoka yako vyuoni yamebandikwa, ushuhuda ya Horti Tengeru yako kwenye ubao wa matangazo wa chuo Sent from my...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Habari zenu wandugu. African Business Education Initiative for Youth (ABE Initiative) 2018 Master’s Degree & Internship Program for Africans (Fully Funded to Japan)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
natafuta shule private mchepuo was PCB mwenye kunifahamisha Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kwema waungwana...? Nilikua naomba msaada wa utofauti wa course hiz za utalii. Tourism management inatolewa (S.U.A), science in tourism(ST.AGUSTINE) na Tourism in cultural heritage(UDOM)...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba ufafanuzi. Nani anaomba (Kuna tofauti gani) Muhimbili school of midwifery and nursing na Muhimbili school of nursing? Kuna tofauti gani kati ya vyuo hivyo viwili
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Back
Top Bottom