Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari za wakati huu ndugu zangu. Ninaomba kufahamu kama hapa Tanzania kuna chuo kinachotoa kozi ya Educational Technology kwa ngazi ya shahada ya kwanza au Uzamili. Asante.
0 Reactions
0 Replies
947 Views
Unaweza jisajili mtihani kidato cha sita combination ya CBA kama hujasoma agriculture O-Level. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu mwenye kuifahamu hii bodi vizuri naomba anielekeze Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo nimeamua kuleta swali hili kwenu wadau, ni swali ambalo nilikua najiuliza siku nyingi na sijapata jibu sahihi ila labda huku naweza kupata jibu la kuridhisha nafsi yangu.. Kwanini Mende akifa...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Wadau nataka kujua sifa kufanya mtihani kidato sita kwa comb ya CBN na CBA kama aujawahi soma O-Level nutrion na agriculture Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi wadau naomben mnisaidie kitu kimoja kwani chanchanganya sanaa. Hivi mtu kwa mfano ukasajiliwa kufanya mtihani kama school candidate alafu ukatoka katika hiyo shule ukaenda kujiandikisha kama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
HARAKATI ZA A ELIMU KWA TANZANIA NA AFRICA YA KESHO. 1. Matumizi ya ICT vyuoni kwasasa ni lazima yaongezeke kwani idadi ya wanafunzi sasa ni kubwa mno kuweza kuimanage manually. 2. Mitaala...
5 Reactions
4 Replies
1K Views
hivi kuna watu wamesoma civil engineering na wanasota mtaani? Maana nataka nikapige course hiyo ata kadiploma maana maisha ya ualimu usipime Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Inaelekea sifa za kujiunga na kozi za afya ngazi ya cheti (certificate) kwa fani ya uuguzi na uganga hazifanani. Kwa kozi ya uuguzi na ukunga ngazi ya cheti mwombaji anatakiwa awe amemaliza kidato...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Kama kuna mwalimu wa advance anafundisha somo tajwa hapo juu naomba kusaidiwa past paper ya mock iliyofanyika katika mkoa wako. Natanguliza shukrani, ikibidi hata kuuziwa, nitanunua. Sent using...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shule nzuri ipi ya private iliyopo mkoa wa iringa,mbeya,morogoro,pwani na dar yenye mchepuo wa HGE....ada yake bei nafuu isizidi 2 milion...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu nahitaji fomu za kujiunga na vyuo vya kilimo. Nimeambiwa form ziko kwenye website ya wizara lakini nimeingia sijaziona. Msaada kwa aliyefanikiwa. Asante
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Wakuu na Wadau wote, Mimi ninalo tatizo la kuielewa Hii Syllabus ya Elimu Msingi ya 2016. Syllabus hii imeletwa kwetu sisi walimu, tumeambiwa tuanze kuitumia; walimu 2 kwa kila shule walipewa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naombeni mnielekeze shule bora ya Nursery ambayo watoto wanafundishwa vizuri ikiwemo tabia njema na elimu pia. Shule isiwe ya mrengo wa kidini. Naomba mnielekeze tafadhali. Nitashukuru sana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba mwenye kujua chuo kizuri cha clinical officers training school cha binafsi aniwekee hapa. Nitashukuru sana
0 Reactions
68 Replies
15K Views
Wadau naomba kujulishwa chuo bora zaidi cha kufundisha upishi kwa ngazi ya cheti/diploma, jijini Dar au hata Kibaha. Kiwango changu cha elimu ni shahada.
0 Reactions
6 Replies
6K Views
wana jf naomben msaada na maelekezo nitaweza je kufungu sanduku la posta?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wiki hii yote kumekuwa na uandikishaji. Ofisi za mikoani imetokea kwamba mtandao ghafla umekatika na hivyo hawapati network jinsi ya kupata majina yao kusajiriwa ili wajiunge na vyuo. Ofisi za...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani naomba mwenye kanuni za utumishi wa umma za 2003.Anitumie au tuwasiliane Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
917 Views
Aliyesoma community healthy anaweza kusoma MD in muhimbili? Nijuzen wadau wa JF Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom