Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hiki chuo hakina website? Unaombaje udahili? Mwenye kufahamu anisaidie.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Salam kwenu wote, Wadau hebu niwekeni sawa katika suala la upandaji wa madaraja, hivi mtu anapokuwa masomoni haruhusiwi kupanda daraja? Na je unapokuwa umepanda unapaswa kurekebishiwa mshahara...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Wadau unaweza kubadilisha kozi ukiwa chuo atakama wamekupangia wenyewe Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
863 Views
Naomba kuuliza et baada ya mtu kumaliza kidato cha sita, na akakaa nyumbani kwa mda kama wa miaka mitano akiomba kujiunga na chuo kikuuu atakubaliwa?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini za asubuhi wana jamvi.. Nina ndugu yangu alipata division 4 ya 26 kwenye mtihani wa form 4 (2016). Kwa sasa anataka kurudia pepa na shauku yake kubwa achukue sayansi. Naomba msaada kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu... wanafunzi wa chuo cha ualimu nachingwea grade "A"wamegoma wakidai kurudishiwa pesa yao ambayo haieleweki imetumika vipi. Hii ni baada ya serikali kubadilisha mfumo wa nacte kuja...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau nataka kujua kama kuna tatizo lolote ukiomba course mfano ya biashara lakini umesoma arts. Nauliza kwa sababu kuna vyuo wanatoa mapendekezo matano, je ulimaliza mapendekezo yako ukaweka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna ulazima wa kulazimishana kuchangia mwenge na kwenda kufanya mazoezi ya pamoja kila mwisho wa mwezi????? hebu nisaidieni wanajf. From Kibiti
0 Reactions
4 Replies
916 Views
Amani iwe kwenu waungwana, naona SUA wananikatisha tamaa kwenye hili, nililipa elfu 25 kwa CRDB kwa ajili ya application SUA, siku ya kwanza na ya pili kulipa ilikubali kulog in na nikajaza...
3 Reactions
59 Replies
4K Views
Jamaniii HV kwenye application za mikopo result sleep ya kdato cha 6 inahtajika katika kutuma hzo documents? Nawaslisha wadau
1 Reactions
10 Replies
4K Views
I am always impressed by a concert pianist, or a soccer midfielder, or a truly skillful visual artist. Their abilities seem other worldly. To mention a few, i think Picasso was a master, and...
0 Reactions
0 Replies
347 Views
Wanajamvi Katika application za mikopo hawa mabwana wanahtaji tuambatanishe hzo results slip Mwenye taarfa nilin ztatoja atujulishe maana mashuleni bado hazjafika
0 Reactions
0 Replies
709 Views
Matokeo ya certificate mpaka Leo hayajatoka alafu anataka Ku apply ngaz ya diploma atafanyaje ili aweze ku apply ??? Msaada please Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habarini wadau Wa humu jukwaani ninaomba msaada nina Mdogo wangu alimaliza diploma in secondary education mwaka 2015 lakini bahati mbaya alipata supprimentary mwaka Jana akaifanya na kufaulu...
1 Reactions
0 Replies
817 Views
tazama majina ya wanafunzi wanao tarajiwa kupangiwa nafasi za kidato cha tano na vyuo vya ufundi awamu ya pili ORODHA-YA-WANAFUNZI-WATAKAOPANGIWA-AWAMU-II-light.pdf
1 Reactions
15 Replies
24K Views
Nmefanya aplication but picha sikuweka lakini application imekamilika vp ina shiida apooo??? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba kueleweshwa. Kwa nini vyuo vikuu vyote vya Tanzania elimu ya masters ni lazima iwe ye miezi 18 na sio miezi 12 kama vyuo vingi ulaya na marekani? Pia naona vyuo vingi havina mfumo wa...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimeona tangazo la NGO ya Tanzania social support foundation, kuwa wanatoa ufadhili na mikopo kwa wanachuo wa vyuo vya elimu ya juu.Ili maombi yako yaweze kuhalalishwa inabidi muombaji...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mambo mazito, naona baada ya Ndalichako kukaza Ufaulu, form six naona wamejikita kuomba vyuo vya form 4. Sasa Form 4 tuende wapi bajameni?
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa wale waliosoma PCB tukutane hapa ,tukumbushane mawili matatu na changamoto tulizo kutana nazo pindi tunasoma
1 Reactions
230 Replies
27K Views
Back
Top Bottom