Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Serikali imekipatia Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) zaidi ya Sh. bilioni 6.7 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya ufundishaji wa chuo hicho, ikiwemo kujenga madarasa na nyumba za walimu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Naomba kujuzwa corse hii inayoitwa hydropower eng. Diploma! Ila dploma mwisho wa kutuma maombi ilikuwa tarehe 6!! Sasa cjui kama watarusu maombi kwa sasa!! Mchango wenu muhimu kwangu. Shukran...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
Zamani kwenda sekondari ilikua adimu mana school zilikua chache na ni kua wanafunzi walikua na uwezo kiakili,sasa technologia Imekua sana, Computer zipo,Je unazani kinachosabisha wanafunzi wa sasa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salaam Naomba msaada wa TCU kuwasiliana na vyuo vikuu, tumekuwa na wakati mgumu sana kuwasilisha application zetu kwenye baadhi ya vyuo. Kwa mfano baadhi ya vyuo vinaulizia kumbukumbu za kurudia...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Mimi ni Mwalimu wa kiume katika shule fulani,Mtoto wa kike kaja ofisini na kunisihi...:Sir Sorry me ni binadamu,,,,nakupenda mwalimu,....Naomba nikimaliza unioe,....::nikamjibu soma usiwaze...
0 Reactions
84 Replies
14K Views
Salam Naomba ushauri kuhusu kozi ya kusoma kulingana na ufaulu huu Civics D History D Geography C Kiswahili C English language B Physics F Chemistry D Biology C B/maths D Naombeni...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Toa maoni na ushahidi kua unadhani nani alaumiwe kwa kuporomoka kwa kiwango cha Elimu nchini.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Inategemewa kua wasomi ndio mwanga bali tumekua giza.kila kitu kina utaratibu,mfano wa chuo nilichopo watu wanaishi kabisa na kuzaa bila wazazi wao kujua.Na kila ukipita jioni kila mtu na jinsia...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Toka nyuma inajulikana kua wanafunzi wa sekondary wanabanwa wasishiriki mapenzi,na wanapofika chuoni wengine wana element za utoto,na maisha ya chuo ni kujipangia,je unadhani kujiingiza katika...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Natamani kue na chuo kikuu boys ama cha girls......Masha yangekuaje wana jf
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu habar zenu kuna rafiki yangu Anataka Ku verify cheti chake cha diploma TCU ili aombe chuo ...naombeni muongozo ..je procedure zake zikoje? Hii process ni bure au unatakiwa kulipia? Sent...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ushauri kwa wanaotarajia kuomba mkopo kwa 2016/2017 Muda wowote kuanzia sasa, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) itatangaza kupitia vyombo vya habari ikiwemo tovuti yake...
0 Reactions
14 Replies
33K Views
Msaada wadau napoteza kazi bila kosa lolote jamani Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Nina swali, hivi ili uweze kusomea Sheria unapaswa uwe na uwezo gani mwingine zaidi ya lugha ya Kiingereza? Yaani Sheria inahitaji nini cha zaidi ili uweze kusoma na kuhitimu?
0 Reactions
1 Replies
5K Views
naomben ushaur mm nina ICT CERTIFICATE nataka kurudi shule nkachukuwe ufundi pale veta kipawa naombeni mnishaur nkasome course ipi ya ufundi
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nielekezeni jinsi ama hatua ya kurudisha upya Bima na kadi ya bank nimepoteza Sasa hivi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Wakuu serikali iliweka wazi kuwa gharama za juu za udahili kwa kila chuo ni 10,000 Tsh kwa degree program lakini hili limekuwa ni tofauti kwa taasisi kama ya DIT. DIT wao wameamua kuweka gharama...
2 Reactions
71 Replies
8K Views
You only have 160 characters to type out a message (sometimes less). So learning short hand and slang is a must for those who want to cram everything into one message. Below is a list of txt slang...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Kama ulichukua mkopo wa kusomea ni heri uanze kulipa kidogo kidogo hata 100,000 kwa mwezi. Kuna kitu kinaitwa charges for value retention fee na penalty ni balaa. Mfano Mdogo wangu alichukua mkopo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
jaman masomo ya history,kiswahili,language na GS 0714450585
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom