Hellow wana jamvi,
Samahanini kwa usumbufu, ningependa kufahamu ni combination/mchepuo gani ambao unaweza kusoma pale katika Chuo cha Kodi/Mapato. Na kama nimemaliza form four naweza nikasoma...
HAbarini ndugu!!! Poleni na majukumu ya kujenga taifa letu pendwa.....
Wanajukwaa naombeni msaada kupata past pepars form two 2016(physics & mathematics) ambazo ziko in PDF ili nkazi print...
Habari wakuu...
Nyumbani wanajaribu kunishauri niapply chuo cha KIGAMBONI CITY COLLEGE course sasa mimi nimejaribu kukifuatilia nimeona ni chuo kipya....pia hakina hospitali je hivi kuna madhara...
Wakuu habari zenu,
Naomba msaada wa maelekezo ya kujiunga kidato cha tano 2015 kwenye shule ya sekondari Jitegemee,kwa yeyote anayejua naomba msaada,
Note:nipo mkoani
Nataka niapply vyuo vya afya kozi ya certificate in clinical medicine , certificate of pharmacy , matokeo yangu haya hapa , physics ,C , chemistry,C ,biology, D, english ,C , civics ,B...
Habar mwana jf,,nikuwa naomba kujua kwa matokeo haya naweza kuapply technical collage, phyD, chem,C, bio C,geoC,kiswD, hist, C,eng C,math f,civC
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilifanya online application UDOM na kulipia 30,000 kupitia tigo pesa (kutoka kwenye namba 0********6 kwenda namba +25565101101 muamala wa tarehe 24/07/2017 ) na waka confirm kwamba pesa imeingia...
Habari Wakuu!
Ningependa Nipewe Ufafanuzi
Kwa Mtu Mwenye Ulemavu Kwa
Mfano Na Rafiki Yangu Kipenzi
Ana "Monocular Vision" Yaani
Anaona Kwa Kutumia Jicho Moja
Sasa Ameniuliza Kwenye Kipengele
Cha...
Wakuu msaada, Nina wadogo zangu wawili mmoja yupo secondary anasoma boarding na mwingine yupo shule ya msingi.
Wa secondary huyu kashaamishwa shule nyingi sana tokea mdogo na sababu kubwa ni...
Habarini
Ndugu wanajamvi,nimefanya maombi ya mkopo kwa ajili ya mdogo wangu bodi ya mikopo.Nimejaza taarifa zote lakini kwenye post form four education kila nikiingiza index namba wananiambia...
Heshima kwenu wakuu,
Mimi ni muhutimu wa kidato cha sita mwaka 2015 katika tahasusi ya PCB nilibahatika kupata alama za kuniwezesha kujiunga na elimu ya juu japo hafifu E, C, C, D, na E kwa...
SERIKALI imewasilisha pendekezo la mabadiliko ya Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ili kuwezesha wanafunzi wanaochukua Stashahada katika vipaumbele vya kitaifa, kupewa mikopo ya kuwawezesha...
Habar wakuu.. naomba anayejua mahala wanapo fundisha 2&3D Animation kwaku specialised kwenye iyo moja kwa moja, maana nilienda DIT wanafundisha multimedia & Film technology, lkn uwe umefanya...
Samahan wakuu leo nimejaribu kumwombea mdogo wangu mkopo kupitia heslb lakn cha ajabu kwenye kipengele cha occupation sioni kaz ya wazaz wake kwan wao ni wakulima na hiyo sion kwenye list...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.