Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habarini wana ndugu naombeni msaada. Mimi ni mwalimu wa shule ya sekondari , elimu yangu ni diploma nafundisha masomo ya science yaani physics na hesabu, mpaka sasa kuna mambo mawili yananitatiza...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Kipindi kifupi cha nyuma combination kama PCB na CBG zilionekana kama lulu kwakuwa na wigo mpana na nafasi za kuaminika pale inapofikia wakati wa kuapply vyuo jwa kua na fani nyingi zenye market...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa wa la elimu, Je kuna uwezekano wa kusubiri second selection kwa haya matokeo DIV III 25 CIV D HIST D KISW C CHEM C ENG C GEO D PHYS D BIOS D B /MATH D. Mimi naona hakuna...
0 Reactions
14 Replies
12K Views
l President Jakaya Kikwete President Jakaya Kikwete yesterday broke his silence over ‘mafataki,’ men who lust for young girls mostly still at school, saying that that their lust was...
0 Reactions
1 Replies
979 Views
Naomba kuuliza kwa nafasi za kujiunga na jeshi la taifa yaan Uwanajeshi na siyo uaskari huchukua wahitimu wa kidato cha nne(form4) au kidato cha sita(form6) pekee au wote kwa ujumla......?? Kwani...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Wakuu ninashida na mawasiliano ya admission officer wa arusha technical college Nina shida Mayo sana maana nimejaribu kumuelezea secretary kwa kutumia namba ya office lakini Majibu yake siyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wa JF Kwa yeyote mwenye kujua site ya kupata past papers za necta form two na 4 au mock ya mkoa, wilaya yoyote anisaidie. Nitafurahi sana kwa ushirikiano wenu. usiku mwema
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Serikali ya JK pamoja na kulipa wafanyakazi na wanafunzi hewa lakini waliwapa wanafunzi wote mikopo bila kujali alimaliza shule muda mrefu, bila kujali umri wala anatoka familia gani. Sasa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wakuu... Binafsi nimemaliza form four mwaka 2015 sasa nimefanya application kwa vyuo vya serikali course ya clinical medicine na labotatory matokeo yangu ni phy-C chem-C bios-C math-D...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Jaman hivi unawez kwenda diplom chuo chochot iwe must au dit baada ya kumaliz nva Lev 3 halafu form iv ulifeli
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Hyyyy waungwana.. Guys kutokana na kubana kwa vigezo vya kujiunga na vyuo vikuu mwaka huu, imepelekea watu wengi kupishana njia na University... Kama mm nimetoka na na EED (CBG)... So nikaamua...
0 Reactions
2 Replies
858 Views
Jaman naulza form za mkopo wa elimu ya juu watatoa lin kwa anaejua njulishe tafadhal* Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu, Result slp hazijatoka na kuna chuo Fulani kina dahili kwa kupeleka application form moja kwa moja katika chuo hicho Namaanisha hawatumii ule mfumo wa online application hivyo basi...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari! Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba kufahamu ndege hawa kisayansi. Ndege wa kwanza ni kunguru na wa pili ni 'hutu tunatotuita tundege kwa hapa DSM' naomba Infos ukianzia na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Zamani TCU guide book ilikuwa inabainisha kozi ambazo ukizichagua kuna uwezekano wa kupewa mkopo, lakini cha ajabu mwaka huu 2017/2018, Tcu wametoa guide book, ambayo haionyeshi Kozi ambazo ni...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa utaratibu wa sasa, tutegemee karibu waombaji wote wenye divisheni 1 na II na baadhi ya wenye divisheni III kupata nafasi zaidi ya mbili kutegemea ameomba vyuo vingapi! Si rahisi MTU kuomba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samahani wakuu naomba kuuliza hv wenye div three mwaka huu wanaeza kuappy bachelor degree Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu habari natumai mnaendeleza vema kauli mbiu yetu ya hapa kazi tu.Ndugu wadau naomben mnielekeze jinsi ya kuingia kwenye profile yangu ya UDSM. MSAADA JAMAN NIPO CHAKA HUKU Sent using Jamii...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna jamaa yangu kaniomba ushauri anataka kusoma ila hajajua asome kipi kati ya ACCA au masters yoyote kama MBA nk. Uwezo wa kusoma kati ya moja wapo anao. Kwa mfano kusoma masters UD ada ni kama...
1 Reactions
44 Replies
8K Views
Back
Top Bottom