Habari wadau wa Elimu Tanzania? Naomba kuuliza maombi ya mkopo kwa wanafunzi elimu ya juu yameshafunguliwa na HELB kwa mwaka huu 2017?
Asante, nawasilisha.
Wakuu habari...
Nipo hapa kuulizia kama hile bei elekezi ya ada ya maombi ya kujiunga na vyuo vikuu ya Shilingi 10000/= .,je ni kwa ajili ya wanao apply SHAHADA YA KWANZA TUU au...
Habari zenu wanajamii,
nipo online nafanya application katika Chuo Cha Mipango DODOMA lakin nimekwama jinsi ya ku-attach documents (birth sertificate, Olevel and A level sertificate) ili niende...
Wanajf
Naomba mnisaidie kujua ni vyuo vipi bora kwa elimu ya juu kati ya Uganda na Tanzania
Uganda kuna baadhi Kama :
1.makelele university (Govt)
2.international university of eastafrica...
Habari zenu wadau .....kuna kitu mwenzenu kinaniumiza kichwa sana katika kuomba vyuo Mara hii ndio maana nimeona nianzishe uzi huu tuweze kujadiliana..
Katika mchakato ambao Mara hii kila...
KUHUSU UTOAJI WA VYETI VYA WAHITIMU WA ASTASHAHADA NA STASHAHADA KATIKA PROGRAMU ZA AFYA, MIFUGO NA UALIMU KWA MWAKA WA MASOMO 2015/2016
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo...
habari ya wakati wana jamvi? kwa wale mliokuwa mnafuatilia somo langu nimerudi tena baada ya kimya kwa muda. Pitia somo na uache maoni yako hapa.
solution of learn trigonometry step by step...
Elimu si tu inatupa uelewa wa mapambano ya maisha yetu ya kila siku kimwili, lakini pia kiroho.
Katika page hii Sabbath vs Sunday utapata kujifunza mengi yenye kukupa uelewa si tu katika maisha...
Wakuu mimo binafs nashindwa kuelewa HV hawa bodi ya mikopo ni Lin watafungua mfumo wao coz au wanataka watuletee vigezo vingne vigumu vya kutupa mikopo?Waswahili wanasema kimya kina mshindo lkn...
Wakuu naomba kuuliza hivi ukitaka kujiunga na veta chang'ombe kwa course ndefu ya umeme ni lazima ufanye interview kwanza na hiyo interview inakuwa ni IPI yaan ya masomo gani naomba kujua wakuu...
Napenda kutumia nafasi hii kuwapongeza sana tume ya vyuo vikuu nchini (TCU), kwa huu mfumo mpya wa kuchagua vyuo waliouanzisha, ambapo mwanafunzi anatuma maombi moja kwa moja kwenye chuo...
Habari wakuu, naomba msaada nikitaka kuapply NACTE diploma, inaniambia matokeo ya form six hayako kwenye database
UPDATE: Nimefanikiwa baada ya kujaribu tena; nadhani servers zao zilikuwa na shida
Wadau naomba kufahamishwa hivi kwa wale ambao mmeaply chuo kikuu mwaka huu, kupitia ONLINE APPLICATION SYSTEM, Je, kuna sehemu ya ku-upload picha ya muombaji kwenye profile yake? Maana mimi naona...
Habari zenu wanajamvi, kuna jambo nahitaji kulifahamu vizuri, mimi nasoma stashahada ya elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamii, malengo yangu nikimaliza niombe kusoma shahada ya accounting and...
Nina mdogo angu kamaliza certificate anataka kuendelea na diploma chuo kingine Ila vyuo vingi deadline ni mwez wa 8 anauliza endapo matokeo yatachelewa kuna njia m'badala ya yeye kuweza kufanya...
Kama kichwa cha habari kinavyosema,nimeingia kwenye page yenu ila sijafanikiwa kuona ada ya degree programs esp. Logistics and Transport Management mwenye kufahamu aniwekee hapa
Sent using Jamii...
Wasaalam bandugu Naombeni ushauri, mimi ni muhitumu wa ualimu ngazi ya degree, sasa kutokana na ugumu wa soko la ajira nataka kufanya maamuzi kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.