Inasemekana,
"Except for eight schools, Kiswahili in 2010 was the medium of instruction in the 15,816 public primary schools nationwide."
Kuna anayezifahamu ni shule zipi hizo lucky eight? Naomba...
Mbona kweny step 1 ya "my profile" sehem ya entry category inagoma kujisave inabak blank hata kama ukijaza, alaf kuedit imegoma kabsa
Msaada plz wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naomba kujua kama chuo cha Mzumbe kinapokea diploma holders katika Shahada za Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma (Political Science and Public Administration (PSPA)), na Sheria (Law (LLB))...
Sitaki kupoteza mda
Wasomi naomba mnijuze iv huwa kuna degree ya biology maana kuna mtu hapa kanambia et yeye ana degree ya biology
Naomba mniambie ukweli ili nijue kama kweli huyu mtu ni...
Naomba taarifa za Ngudu high school kwa wanaoifahamu kijiografia na taaluma kwa ujumla wake.
Nimechaguliwa kujiunga hapo kidato cha tano kwa comb. ya PCM kwa mwaka huu wa masomo.
Pia ningependa...
Wakuu,Salaam
Kuna hizi kozi mbili za sheria ya Bachelor of Laws LLB na Bachelor of Arts in Law enforcement,ni kozi ipi soko la ajira ni kubwa kwa sasa.
Ushauri wenu ni muhimu wadau na Mungu...
Naomba kuuliza kwa anayejua hvi ukisoma basic technician certifucate in pharmaceutical science NTA 4 ukifaulu vizur unaruhusiwa kusoma, level 5, 6 then degree for the same course? Naombeni kwa...
Jamani namfanyia application bwana mdogo sasa sehemu zingine zote flesh ila tukifika sehemu ya kuingiza details za fomu this naambiwa errors jamani naomba aliyefanikiwa kuapply na alikumbana na...
natumai niwazima wanajamvi kwa wale ambao kwa namna moja au nyingine wamepatwa na matatizo anuai basi Mungu ashushe huruma yake ya kiroho wapate nafuu.
UDOM ni chuo kikubwa sana hapa Tanzania ila...
Naomba msaada ndugu zangu nilimaliza 4m4 nilipata ufaulu wa daraja la 4 nahitaji kujiunga VETA, naomba ushauri nikasomee kozi gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau..
Naomba tuambiane ukweli,elimu yetu inakosea wapi? UDSM ina College of Fine and Performing Arts ambayo inatoa degree za uchoraji, music, movie na other performing arts.
Imeanzishwa...
Habari wakuu, mwaka jana wanafunzi wenyesifa ya diploma kujiunga na elimu ya juu walikosa mkopo ila haikufahamika kwa kigezo gani, sas nmeleta uzi huu kwa yeyote mwenye taarfa sahihi kuhusu mwaka...
NACTE walipoyaacha mamlaka ya upokeaji wa maombi ya kujiunga na vyuo mbalimbali vya kati hasa vile vya Private (colleges) nadhan walikua na nia njema, lakin hawakupanga ni namna gani watadhibiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.