Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ndg wana jf naomba tupeane taarifa kwa wale walio apply diploma in education kwa direct entry chuoni Mount Meru University
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wenye kutaka kujua mazingira ya DIT yalivyo kuanzia hostels,mgahawa,walimu na maabara nakaribisha maswali yenu. Karibuni.
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari za usiku.. Nimemaliza form four mwaka 2015 na nilipata div two ya 21 kwa upande wa science phy-C chem-C bios-C math-D english-D Hivyo kwa mwaka huu nimeaplly vyuo vya afya vya serikali kwa...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Nipo Dar nahitaji kituo kinachofundisha vizuri masomo ya arts H.K.L nipo Dar kwa watahiniwa wa kujitegemea.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu habari, Naomba kufahamishwa maonyesho yaliyoko Mnazi mmoja ya vyuo vikuu yanaisha lini? Pia nikihitaji kwenda kuomba chuo utaratibu uko vipi katika maonyesho hayo? Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Msaada kituo kizuri kwa private candidate EGM kwa Mwanza na Ada ni sh ngapi anisaidie. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naombeni kuuliza jamani et Kama umefanya application mwez wa tano pale kweny profile yako ukibadilisha email tofauti naile uliyotumia kipindi naanza application kuna Tatizo? Nilifanya application...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Je? Naweza kupata msaada popote kwa mtu wa kunidhamini katika masomo yangu nilimaliza kidato cha nne 2014 nilifaulu kwenda advance PCB lakini sikwenda niliapply chuo course ya nursing...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Maskini hudhani utajiri ni chanzo cha matatizo. Tajiri hudhani umaskini ni chanzo cha matatizo. Maskini hudhani ubinafsi ni kitu kibaya. Tajiri hudhani ubinafsi ni kitu kizuri. Maskini ana mawazo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kutokea jana nimetuma pesa kwenye akaunti ya UDSM kwa njia ya MPESA shilingi elfu 20,000 lakini hadi leo ninaonekana sijalipa na ujumbe ni ule ule wakati walitoa taarifa kwamba tovuti yao...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Jamani ninhitaji kusoma course ya Business adminstration lakini naomba mnijuze naweza kuwa Hr hasa kwenye ofisi za serikali???? Kwa wenye uelewa na hili Samsung J7
0 Reactions
3 Replies
614 Views
Habari za wikend wadau. Kuna wale wanaoomba degree kuna aliyefanikiwa kufanya application SUA? Kama umeweza naomba unielekeze, mimi nimejaribu nimeshindwa. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Msaada pls kwa wasomi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Kwa ambaye ameshafanya applctn mbeya university of science and technlg..... Naomba anifahamishe jinsi ya kutuma ile form baada ya kuijaza Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kifupi mimi ni mdau wa masuala ya mafuta na gesi, nawashauri vijana mnaoomba kuingia vyuo vikuu katika ngazi ya degree chagueni kozi zingine tu, kozi hizi zilizopigiwa chapua sana hapa nchini...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habarini mkuu.. Kuna baadhi ya vyuo kama st john,st francis,kcmc,kampala vimefungwa sasa wakuu inakuaje kwa sisi tuliaopply course vya afya kwa ngazi za diploma je kuna madhara yoyote na ni kweli...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba mnielekeze zilipo ofisi za tume ya utumish wa walimu makao makuu,nimekwama sana,msaada wakop ni wa maana sana
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu tumekwama. Baada ya kulipa step 2 kijana anaingia step3 Academic qualifications. Akiweka either O level na index namba yake au A level na index namba yake anaambiwa "Names of this Index# do...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu.. Kuna course ya inapatikana vyuo vya afya inaitwa medical laboratory science na nyingine nimeikuta technical college inaitwa laboratory science technology... Wakuu tofauti ya hizi...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Naomba mwenye kujua sifa za kusoma chuo cha ualimu ngazi ya cheti, kwa matokeo ya GPA, sababu kwenye guide book za nacte hawajafafanua. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom