Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habarini wapendwa, kwa yeyote mwenye syllabus ya literature soft copy naomba anisaidie, literature as somo O' level. asanteni
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi ukisomea private diploma, je kuna uwezekano wa kuchaguliwa chuo kikuu baada ya kumaliza mafunzo. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Huyo jamaa anapatikana kwa namba 0713160073 Kaisajili kwa jina la ROBERT RISASI. Huyu jamaa huwa anajinasibu kwamba yeye ni mfanyakazi wa Baraza la Mitihani hivyo anaweza kutengeneza vyeti...
3 Reactions
58 Replies
6K Views
MODE OF APPLICATION FOR UNDERGRADUATE PROGRAMMES Applicants with the appropriate “A” Levels passes (Direct Entrants) and Diploma Holders (Equivalent qualification) seeking admission at CUHAS into...
0 Reactions
15 Replies
14K Views
Nawasalim wakuu, Nimeombwa kumsaidia kijana kuweza kutengeneza career katika nyanda ya afya ya binadamu, mifugo, au mazingira. Naomba mnishauri kozi nzuri za diploma zenye future hata ikibidi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Shikamoo wakubwa waJF? Kichwa cha habari kinaeleza kwamba tarehe 30.10.2017 nitakuwa pale Jitegemee JKT kuliamsha dude lililoandaliwa na bi Joyce Ndalichako na mshkaji wake Charles Msonde. Mimi...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Hello! Loved greetings from Zanzibar Island (Tanzanian) My name is Said,I'm an advanced student graduated on May this year(2017).My dream is to be the Best Teacher so that my society will extract...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwanza naipongeza serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu kupunguza gharama za maombi kwa vyuo vyake kwa waombaji wanaotarajia kujiunga na elimu ya juu kwa mwaka 2017/18. Ombi langu kwa serikali ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF niikiua naomba kuuliza kuhusu bachelor ya computer science katk chuo ch Arusha technical collage je ni chuo sahihi pia na kinatoa wataalamu wa fani hii???
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Mama Ndalichako ashasikia kilio chenu, pesa ya udahili inayotakiwa kutozwa ni sh.10,000/= Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
77 Replies
16K Views
If the government had barred some varsities from enrollment this year citing the Universities failure to meet requirements, then what about the students/ graduates who finishes from the same...
0 Reactions
2 Replies
560 Views
Wakuu naombeni nisaidiwe kama upo uwezekano wa kuchagua course mbili chuo kimoja na je malipo ya gharama za application yanakuwaje?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Poleni na shughuli zenu. Naombeni msaada wenu nataka kutuma maombi chuo kikuuu cha sayansi na teknolojia MUST ila nina hofu kidogo nitume kupitia email zao au posta au naweza kutuma kote. Kama...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari ya asubuhi? Toka Jumatatu nimekuwa najaribu kufanya online application katika chuo kikuu cha ardhi, nimefanikiwa kufungua account na kuanza kujaza step ya kwanza,lakini step inayofuata ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kujua kama chuo hicho MACHAME HEALTH TRAINING INSTITUTE - MOSHI kinapokea wanafunzi wa diploma direct FORM 4 from school-- Kuna tabia ya vyuo kuweka matangazo kuwa wanapokea form 4 kumbe...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Walioelewa tafadhali tusaidiane hivi hii 50,000 ya ku apply bachelor ni unalipa mara moja tu au? Na je kuomba chuo nafasi za kuomba ni ngapi?
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Naomba uongozi wa chuo kikuu SUA mtazame upya mfumo wenu wa kusajili wanachuo wa mwaka wa kwanza unasumbua na hauna mtiririko ulio sahii kama vipi? Muwaombe UDSM wawape mfumo wao wanaoutumia Ni...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habarini za mchana! Nimekuwa kwenye harakati za kuomba vyuo kupitia online system. Nimelipa fedha kupitia M PESA kwenda chuo kikuu cha ARDHI. Meseji imerudi kuwa hela imetumwa lakini system ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ardhi University: Kwa Wanaosoma Kwa Malengo *Kwa wanaotaka kujiunga elimu ya juu* , wengi huwa hawajui kozi wanazotaka kusoma zina mwelekeo upi. Wengi pia hata vyuo wanavyotaka kwenda kuvisoma...
3 Reactions
12 Replies
10K Views
Back
Top Bottom