Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kulipia kila maombi ya kusoma kwa mwanafunzi kwa kila chuo Sasa ni kikwazo kwa watoto wanaotoka familia masikini kabisa. Zamani ilikuwa TCU unalipa 50,000/= kwa CAS Sasa hii ya Sasa Kali. Prof...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Kichwa cha habari cha husika, ni ombi nalileta kwenu kwenye kipengele cha malipo muongeze fursa za ulipaji kwa kutumia MPESA,AIRTEL MONEY na N.K siyo kutumia TIGO PESA na CRDB Benki peke yake kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mara ya mwisho serikali ilinunua vitabu kwa shule za msingi wakati pesa za rada ziliporudishwa serikalini. Miaka inaenda, watoto wanazidi kusogea madarasa bila kuwapo vitabu. Serikali...
0 Reactions
6 Replies
877 Views
Wakuu poleni na majuku naulizia aliyesoma Bacherol of Community economic development hii course ina hesabu ni hilo tu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Ni jambo la kusikitisha kuwa UDOM direct form 4 FROM SCHOOL hawachaguliwi, lakini wameweka kwenye application kama mojawapo ya possible applicants FOR DIPLOMA, wakati wanajua fika kuwa Form 4...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Hello wadau, Tafadhali mwenye ufahamu na uombaji wa vyuo mwaka huu wa masomo 2017/2018. Hivi maximum ni vyuo vingapi vya kuomba, au ni kutupia tu kadri uwezavyo..... Tafadhali majibu yenu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ofisi ya Rais -TAMISEMI inatangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano awamu ya Pili (Second Selection) kwa mwaka 2016. Jumla ya wanafunzi 3,918 wakiwemo wasichana...
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Wakuu poleni na majukumu. Binafsi mimi ni mjasiriamali na mwajiriwa pia. But nimepanga nisome open university kutokana na kubanwa na majukumu ya kimaisha. So nimekwama sijui ipi bora kati yao...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
  • Closed
Salaam Wakuu, Niko hapa naandaa maombi kwa ajili ya udahili wa chuo kwenye mfumo wa NACTE (STUDENT'S ADMISSION VERIFICATION SYSTEM), ila kuna kipengele nimekwama ambacho kinanitaka nijibu ndiyo...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Hellow.....Ni ukweli ulio wazi kuwa hata kama umefauli vizurii lkini bado Kwenda Chuo ni Mbindeeee tena Mbindee sabaaa Kuliko miaka Yoyote ulio wahi kuisikia Vyuo 19 vimefungiwa vyuo ambavyo...
12 Reactions
56 Replies
9K Views
Wakuu na maafisa wa Idara na Vitengo mbalimbali vya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu wapo katika maandalizi ya mwisho ya kufanyia majaribio mfumo wake ulioboreshwa wa uombaji mikopo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunaomba NACTE mrekebishe website yenu, inagoma kufanya application. Ukifika kwenye machaguo inagoma kuchagua chuo na kozi.
0 Reactions
0 Replies
553 Views
Namfanyia dogo application ya diploma kupitia NACTE. Napoingia index number ya form six inakuja message hii : Error! Provided Index/ Registration number and examination / graduation year not found...
1 Reactions
49 Replies
7K Views
Naomba mtu mwenye data hizi atujuze: 1. Idadi ya divisheni 1 2. Idadi ya divisheni 2 3. Idadi ya divisheni 3
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar zenu ndugu. Polen na majukum ya kimaisha ya kila siku, nahitaji msaada maana nipo nafanya application ya higher diploma kwa kutumia matokeo ya kidato cha 6 mwaka 2017 kupitia NACTE...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Hiii faculty inahusiana na nin wakuuu... BACHELOR IN SCIENCE OF PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT...?? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimejaribu kupitia fees structure za DIT kwa private sponsored students,nimezisoma zote na kuzielewa. Lakini nimeshindwa kupata jibu kama nitapokelewa endapo nitalipa ada nusu lakini...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hiv kati ya hizi faculties ipi ni nzuriii zaidi... Hasa kwa arts... 1.Bachelor of science in land management and valuation.. 2.Mass communication.. 3.B. Law.. Sent using jamii forums mobile app
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Tokea jana nimetuma pesa kwenye akaunti ya UDSM kwa njia ya MPESA shilingi elf 20000 lakini hadi leo ninaonekana sijalipa na ujumbe ni ule ule wkt walitoa taarifa kwamba tovuti yao itajibadili...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nammpango wa kupiga medicine mwakani na ninependa kujua nikipi chuo bora zaidi kati ya MUHAS na KCMC
0 Reactions
119 Replies
29K Views
Back
Top Bottom