Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habar za jukwaani? tafadhali naomba kufahamu kama kuna vyuo special kwa ajili ya watu ambao wana matatizo ya kusikia.kwani nina mdogo wangu amehitimu kidato cha sita mwaka jana na amefaulu vizuri...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Msaada wandgu, niko nafanya application udsm hapa, nimeshalipa pesa tayari na message imekuwa derivered. Sasa pale wamesema baada ya malipo unangoja mfumo ujiupdate kwenda kwenye stage ya tatu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naomba kuuliza kama udsm application imefunguliwa. Kama ndivyo, basi naomba msaada wa link. Asanteni sana. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimefuatilia mahojiano yake anayoyafanya hivi punde na Kipindi cha 360 cha Clouds tv na kuna kauli moja ameitoa kiukweli nadhani huku kupimwa ' mkojo ' kusiishie tu kwa Watu wengine bali nadhani...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada nimepitia kitabu cha TCU bahati mbaya sijakiona chuo cha KCMC naomba ufafanuzi kama mwaka huu tunaruhusiwa kutuma maombi ya udahili KCMC
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Nimefuatilia kwa miaka mitatu hivi, nimeona wizara ya elimu na baraza la mitihani hazilijumuishi somo la General Studies ktk ukokotoaji wa division. Kuna...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Hii inawahusu form six 2016 wasio na sifa za kwenad vyuo vikuu,kuna kozi nzuri nzuri sana kama pharmacry etc. BONYEZA HAPA KUAPPLY
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Toka jana najaribu kuwalipia vijana wangu malipo ya chuo lakini sijafanikiwa. Mmoja naomba UDSM na nimelipia kulingana na utaratibu waliouweka wao, lakini ukiingia kujaza naambiwa sijalipia. Na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wandugu. Napata tatizo kupata verification number, mwanzoni nacte waliniambia hawana data zangu, nikawasiliana na chuo wakaniambia wametuma, Ijumaa nikajaribu tena kuaply ver no...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanachuo walimu watarajiwa(sekondari),sasa walazimishwa mazoezi ya kufundisha wakafanyie shule za msingi. Hivi taarifa zao zitakuwaje wakati wa kuomba kazi baadaye? Hivi MTU akitakujifunza udereva...
1 Reactions
4 Replies
912 Views
Udahili UDSM umefunguliwa. Fuata maelekezo kwenye website yao www.udsm.ac.tz Best wishes kwa vijana wetu
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Mimi nikijana niliyehitimu kidato cha sita ila kwenye matokeo nimeandikiwa E* je naweza fuatilia baraza au shuleni msaada wa mawazo wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa Mlio chaguliwa unique academy karbuni 1.bachelor of information security 2.bachelor of Networking and Hardware 3.bachelor of information Technology 4.bachelor of software 5.bachelor of...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu mabibi na mabwana. Naombeni kujua hii ni haki kweli? Mimi ni mwalimu katika mkoa fulani, mwaka huu kwangu haujakaa vizuri kabisa kutokana na matatizo yaliyoniandama. Mwanzoni mwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajf Km kuna yeyote ameshasoma chuo cha DIT kwa diploma au degree, vipi ufundishaji wao ukoje? Prospectus, lecturers, Naomba maoni yenu wakuu. iPhone 6s
3 Reactions
39 Replies
11K Views
Samahani wadau naomba kuuliza hvi aliyemaliza form four 2009 anaweza kuapply vyuo hvi Dar es salaam instute of technology(DIT) au Must (mbeya) mana naskia wanahtaj only waliomaliza kat ya 2012 up...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za muda huu wana JF, Mimi ni mhitimu wa form six mwaka 2014 kwa mchepuo wa PCB matokeo yangu yalikua; physics-E chemistry-D biology-C Nataka mwakani nijiunge na elimu ya juu, je niresit...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mwenye guidebook ya mwaka jana kwa diploma holders wanaotaka kwenda degree anisaidie tafadhari
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Habari za muda huu wanajukwaa, nakusudia kutuma maombi ya kujiunga na kozi hiyo pale WI. Sasa naomba kufahamishwa kama kozi hii ina uwanja mpana wa kujiajiri au kuajiriwa! Pili, vipi ina...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Molecular biology and biotechnology au vertenary medicine ushauri wenu wakuu matokeo yangu ni B,C,D komb ya CBG Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom