Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari ndugu zangu, Naombeni kujulishwa juu ya gharama na taratibu za malipo kwa masters ya procurement kwenye chuo kikuu cha Mzumbe kwa campus ya Dsm, nimejaribu kusearch kwenye website yao...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ni baada ya chuo cha Kampala International University (KIU) kuwepo kwenye orodha ya vyuo ambavyo vimefungiwa kudahili mwaka huu iliyotoka tcu, Afisa masoko wa KIU katoa MREJESHO huu pale...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Waziri wa Elimu wa Kenya, Fred Matiang'i ameamuru vyuo vya Kenyatta University(KU) na Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology(Jkuat) matawi ya Tanzania na Rwanda Kufungwa. Hii...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ndugu wana jf poleni kwa majukumu kuna ndugu yangu amehitimu form four mwaka 2015 na alipata III 25 CIV D ENG C PHY D KISW C BIOS D HIST D CHEM C GEO D B/MATH D lakini uwezo wa kusoma private...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habarini za saizi? Naombeni mnijuze Wadau, katika application ya chuo kikuu pale kwenye priority ni lazima ujaze zote? Na inakuwaje kama hakuna course nyingine inayoendana na sifa ulizo nazo? Kwa...
1 Reactions
2 Replies
695 Views
Habari zenu wanajamvi, Ningependa kuuliza kwa wale wazoefu na chuo cha UDOM hivi nafasi kwa upande wa CIVE (Telecommunication engneering) huwa zinajaaga? Sababu ya kuuliza ni kwamba nahitaji ku...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanafunzi ambao walichaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano awamu ya kwanza walishaanza masomo yao zaidi ya mwezi mmoja sasa. Lakini wale ambao majina yao yalitoka kwamba watapangiwa shule...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu kwa anaejua chuo gani bora vya biashara Kati ya IAA,TIA,IFM, na CBE
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Naomba kujua kwa mtu atakaye fanya kaz TFDA( ukaguzi wa vyakula) anaweza kusoma koz gani na vyuo gan vinatoa koz hiyo kwa ngaz ya diploma ?? Msaada wa mapema unahitajka plz... Sent using Jamii...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Jamani kwa wale walioapply UDOM before agizo la waziri, wakatozwa 30,000 as application fee. UDOM itarudisha hizo pesa na wakate 10,000 yao tu.
0 Reactions
5 Replies
874 Views
Hallow guys. Jina langu ni meshack Meshach mebamto mtobwa. Nina mada ndogo ila muhimu sana ninacho kuomba usitukane wala kutoa maneno machafu changia points. Napendekeza kuwe na uniforms (SARE)...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Inasikitisha kuona kwamba tuna vyuo vya kata siku hizi Vyuo vingi binafsi haviwekezi kwenye wataalamu namaanisha wahadhiri. Hata baadhi ya vyuo vya serikali tatizo lake havina wataalamu...
1 Reactions
0 Replies
669 Views
Ingawa barua tuliyo ona jana ni kwa vyuo vya umma ni ukweli kwamba Chuo cha SAUT kimerekebisha application fee yake toka sha 30,000 hadi 10000. Na chuo cha Stella Maris College Mtwara nao...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Kwa wale wanaohitaji vitabu vya geography kidato cha 3 na 4 pia vitabu vya watoto wadogo na hata wakubwa wasiojua kusoma na kuandika vinapatikana kwa urahisi. Vitabu viko katika SOFT COPY na HARD...
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Leo wakati rais anarudi kutoka kwenye ziara za Mikoani, Amesimama Tegeta na Kuzungumza na Wananchi. Haya ni baadhi maneno aloongea; “Kwenye madini tumeibiwa sana, nchi yetu ni kati ya nchi...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Leo nimefanya transaction ya University enrollment kupitia M pesa kw muongozo wa Max Malipo lakini cha ajabu muamala umekamilika lakini chuo akitambui malipo yangu. Nimewasiliana na Voda huduma...
1 Reactions
3 Replies
996 Views
HABARINI naomba link ya UDOM kwenye website yao sijaona kitu wanazingua sana Msaada tafadhali
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Taarifa kwa jumuiya ya kampala international university in Tanzania ( KIUT) Kutokana na mapungufu yaliojitokeza kwenye undergraduate admission guide book 2017/2018 kwa kutokuwepo kwa chuo chetu...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Natamani kujua ada ya Certificate Diploma Degree Kwa course ya IT kwa chuo cha UDSM na UDOM kwa wanao fahamu na gharama za HOSTEL kwa mwaka. Na vyuo vingne vilivyopo dar vinavyo fahamika...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Wana JF Education forum nilikuwa naomba anayejua sheria na taratibu za kufuata ili kuruhusiwa kuandika vitabu vvya masomo mbalimbali kwa level yoyote ya elimu tanzania isipokuwa UNIVERSITY LEVEL...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom