Naomba kusaidiwa, nime'apply' udsm na ardhi university bachelor degree, nimeji'register', baada ya hapo kuna steps nne.
Step 1: My Profile
Step 2: Application Fee
Step 3: Academic Qualification...
Wakuu naomba ufafanuzi juu ya kozi hizi
Kwa upande wa market na field yake ya kimasomo ilivyo
1.Bsc.food science and technology
2.Bsc.petroleum chemistry
3.Bsc.applied zoology
4.Bsc.textile...
Habarini wakuu humu ndan!
Nataka kujua kuhusu program tajwa hapo juu, nianze na ugumu wake au usimple wake hapo chuoni, Vipi kuhusu ajira (kuajiriwa au kujiajiri).
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa yeyoteanaefahamu CHUO chochote Moshi sana au Arusha kinachotoa kozi ya certificate in secretarial naomba anijize .pia mfano MTU kapata d3 na anataka Hiyo kozi je ataipata
Sent using Jamii...
Wakuu katika pita pita yangu nimegundua kuwa TCU imetoa taarifa kinzani kuhusu program ya Bachelor of Arts in Philosophy with Ethics ya Mwenge Catholic University. Hiyo program iko kwenye list of...
MH. PINDA MKUU WA CHUO KIKUU CHA OPEN UNIVERSITY NA RAIS MAGUFULI MULIKENI UPIGAJI DILI WA UNAOFANYWA NA BISANDA AKISHIRIKIANA NA SERIKALI YA WANACHUO.
Chuo cha Open ndio kilikuwa chuo kimbilio...
habari za jioni wanajamii, mimi ni mhitimu wa bachelor degree ya accounting nataka nijiunge na tuition center yani cpa review classes hapa DAR ES SALAAM ila sijajua ni mahali gani pako vizuri...
Habarini wanadau!
Rejea kichwa cha habari hapo ndipo ujumbe wa leo unahusika.
Katika jamii yeyote ya viumbe uijuayo hapa duniani iwe ni mwanadamu, wanyama hata wadudu, elimu ni swala nyeti sana...
Kwa wale tuliopitia Lugalo sec Iringa Tunamkumbuka mwalimu mmoja anaitwa mwalimu Materu alikua mwalimu wa Kilimo. Watu walikua wakimtajia majina ya uongo walipokutwa na makosa mfano wengine...
Wakuu naomba msaada wa namna nitatambua kuwa udahili wangu uko successful accomplished na umepokelewa kwenye chuo husika
MSAADA WENU PLZ
Sent using Jamii Forums mobile app
#SOJOURNER__TRUTH
Mtumwa aliyepigania haki za watu weusi nchini marekani.
Binti aliyezaliwa kwenye familia ya utumwa- huko newyork miaka ya 1790's
Akiitwa Isabella na baadaye kubadili jina na...
Nimemaliz kidato cha nne na kupata 4:27 .... nnapenda sheria vipi bado nina nafasi ya kujiendeleza kwenye maswala ya elimu ya sheria????
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejaribu kufuatilia matokeo ya kidato cha sita na kujaribu kusoma mahitaji ya vyuo vikuu wanavyotaka.Nimekutana na neno kuwa kulingana na mpangilio na utaratibu wa NECTA unatakiwa upate point...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.