Habari zenu wanataaluma wenzangu,kwanza napenda kuwapongeza na kazi nzuri ya kufundisha na Ku guide wasomi wenzetu talajari,
Uzi huu ni naalumu kwa walimu(instructors,lecturers), wa vyuo...
Habari za Maisha.
Chuo cha Maji kinaendelea kupokea maombi ya kujiunga na Chuo kwa ngazi ya Certificate, Diploma na Degree hadi Tarehe 30 August 2017.
Kwa sasa Batch ya kwanza ya wanafunzi...
Natanguliza shukran zangu...... naomba kufahamishwa kuhusu hizo program za diploma hapo udom maana kwa tetes nilizo sikia wanasema udom haipo under nacte kwahyo ata wanafunzi wake wanaosoma hzo...
Sasa hivi ni saa 7 usiku nahangaika sio kupewa mkopo,ni kufanya maombi ya mkopo tu,kisa watu fulani wasio na utalaamu wamepewa majukumu wasiyoyaweza
Dogo amepewa ruhusa wiki nzima kambini jeshini...
*CBE CAMPUS YA DAR MNACHOFANYA NI KINYUME NA LENGO LA MH.RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFUL KWA WANAFUNZI*
Na
Abdul Nondo.
Taarifa hii ifikie wizara,viongozi wote na hata watanzania kujua kipi...
Habari wakuu!!
Ni imani yangu mu wazima wa afya na mwaendelea vyema na michakato ya maisha.
Ushauri wangu ni kwa vijana hususani waliomaliza kidato cha nne na engineers wanna be.
Elimu ya ufundi...
Kichwa cha habari cha husika,
Mwenye vitabu vya NBAA soft coppies hususani intermidiate na final stages ani PM nimpe email anitumie au atupie hapa uwanjani. Sio lazima uwe navyo vyote hata...
kwanza poleni/hongereni kwa mapumziko ya week end.
najua wengi wenu hapa ni wazazi au walezi kama mimi au wazazi watarajiwa.
nimeona niwashirikishe katika hili.
"msomi wangu" siku kadhaa...
TSSF kwa kushirikiana na mfadhili wake anayeitwa CDF International kutoka Seattle, Washington, Nchini Marekani imeanzisha Mfuko wa Elimu ya Juu wa TSSF ambao utakuwa ukitoa ufadhili wa masomo ya...
Wakuu polen na shughuli za kila siku, ningependa kujua iwapo naweza kusaidiwa ni jinsi gani naweza shughlikia makosa yalio jitokeza wakati napakua form ya mkopo
Sehemu ya kwanza ni katika mwaka...
Wakuu habari.
Naomba wanasheria mnisaidie.
Natamani kusoma sheria. Ila mwanzo undergraduate sikusoma sheria.
Nimeona Uingereza inawezekana kusoma postgraduate ya sheria kama undergraduate...
Habari za saizi.
Wadau kwa anaefahamu namna ya kupunguza ukubwa wa picha iwe chini ya mb 1 na 150 x 120 pixels ili niweze kuiapload kwenye maombi ya mkopo. Natanguliza shukrani zangu.
Sent using...
Wakuu naombeni ushauri kina kozi inaitwa environmental engineering and management in mines diploma...naomba kujuzwa kama INA shavu au vp
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanyeni marekebisho ya mwisho ( in terms of choices of courses, where to study, etc) leo ndio deadline ya kuomba vyuo vya diploma/certificate.
Kuwa macho na mitandao, inaweza kukata while on the...
Kwa wale ambao mmepitia tovuti ya nacte mtakuwa mmeona kuwa kwa mwaka huu wa masomo 2017/2018 sifa za kujiunga zimebadilika sana hasa kwa ngazi ya cheti ukitokea kidato cha nne.
nimebahatika...
Napenda kufahamu ni ufaulu upi wa chuo cha Kitanzania katika tasnia ya sheria unaweza kumruhusu mtu kudahiliwa masters (LLM)
katika vyuo bora vya sheria ulimwenguni kama oxford, Cambridge na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.