Habari wanajukwaa wote!
Anayefahamu maduka ya vitabu vizuri vya science Mwanza ninapoweza kupata vitabu vifuatavyo na gharama zake niandae bajeti:
1.Biological science (BS)
2.Organic chemistry...
Kwema wakuu...?
Naomba kufahamishwa niwap naweza kupata chuo bora kwa ajili ya uproducer,uDj na uMc.[emoji441] [emoji344]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani naomba watu wajadili juu ya nafasi za kuwa lecturer vyuo vingi vya Tanzania. Kwanza mi naona kuna tatizo kubwa sana naomba Prof Ndalichako na TCU walifanyie kazi.
Nafasi ya kuwa lecturer...
Thread hii maalumu kwa ajili ya kuuliza maswali kuusu mikopo kwa kozi za diploma 2017/2018. Kama vile jinsi ya kuapply na kozi zinazopewa Mkopo. Weka swali lako utajibiwa na watu wenye ujuzi...
Kwa taarifa, swali, hoja na chochote kile kuhusiana na Chuo Kikuu cha Dodoma, tukutane hapa.
First year, 2017/2018.
Karibuni sana UDOM:
They call it UDOM but we call it HOME, this's the home of...
Nina mdogo wangu amerudia kufanya mtihani wa form 4 mara 3
Ndio akapata credit za kwenda form 5.cheti cha kwanza akina credit ana division 4 ya 30.
Chapili alirudia masomo 7 akapata division 3...
Wakuu habari
Nipo hapa kuulizia kwa mwenye kuifahamu ki undani course hii inayo tolewa katika chuo kikuu mzumbe , katika nyanja ya upatikanaji ajira zake na masuala...
O-level alisoma science hakufanikiwa kufaulu vizur masomo hayo sasa anataka kurist masomo ya biashara kwa sababu zake binafsi je inawezekana ???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa alifanikisha kuapply DIT
Naomba msaada juu ya hili
Kila nikijaribu ku create account wananiambia kuna data zinamisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar wana JF...
Mwenye Kitabu Hiki
Title: MISINGI YA UUGUZI (Nursing and Ethics)
Author: PALIUS SANGA
Anisaidie WhatsApp namba 076 Nakihitaji Sana.
Kimeandikwa na mtanzania, na ni kizuri sana...
Salamu Kwako. Baada ya kuchepuka Kwenda chuo Ni meamua kurudii mwaka huu Kusoma business administration accounting Open university. Kwanini open university? Kwasababu kuna shughuli za kimaisha...
Habari wakuu...
Mwaka 2015 nilibahatika kumaliza form four shule moja mkoani....matokeo yangu yakawakama ifuatavyo phy-C chem-C bios-C math-D geo-C hist-C civics-C kiswahili-C english-C...
Ndugu walimu na jaiii,ni wakati muafaka wa kuvitambua na kufufua vituo hivi,kwa muda sasa serekali imeviacha bila kuviwezezesha,hapa ndio chimbuko la kuwaendeleza walimu na taaluma kwa jumla.nini...
Habari zenu wadau?
Kuna hatari nimeiona kwenye kujaza form za kuomba mkopo wa elimu ya juu mwaka huu.
Huu ni mwaka ambao wanafunzi wengi watakosea kujaza form za mkopo kuliko miaka yote...
Hello wana JF
Kama kuna mwalimu yeyote ambaye yupo Njombe na Makambako na hajapata ajira bado tangu 2015 Tafadhali tuwasiliane. 0625686556
Ni wakati wa kutumia elimu yetu kwenye Fursa ya elimu...
MAMBO 20 YALIYOTUSUMBUA SHULE ZA MSINGI.
1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalimu anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani tu.
2.Unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni afu...
Wakuu habari
Nipo hapa kuulizia kwa mwenye kuifahamu ki undani course hii inayo tolewa katika chuo kikuu mzumbe , katika nyanja ya upatikanaji ajira zake na masuala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.