Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Soma tangazo (attached file) hili, item 2.0. Baada ya vyuo kuchagua and being linked to TUC, NACTE and NECTA data bases, finally TCU has to cross check if rules have been adhered to! If not you...
0 Reactions
1 Replies
695 Views
Pombe Magufuli anachochea sana matabaka baina ya walionacho na wasionacho. Tunaona mara kwa mara watu wenye pesa wakinyanyaswa na magufuli, kwa mfano alihaidi atawashusha waishi kama mashetani...
8 Reactions
85 Replies
7K Views
Habari wakuu, Nina ndugu yangu kapata division 1 form 6 na anataka akasomee udaktari degree MD. Naombeni muongozo jinsi ya kupata scholarship katika vyuo vya nje.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba kujua kama kujaza form za mkopo wa Tanzania tayari na linki zao. shukran
0 Reactions
0 Replies
738 Views
Habari za asubuhi wapendwa Kumekuwa na kukata tamaa kwa wazazi na wanafunzi baada ya matokea ya mitihani iwe ya kidato cha tano au cha sita. Wanafunzi hasa waliofeli kidato cha sita na kupata...
3 Reactions
16 Replies
37K Views
Eti inawezekana mtu kusoma Development plan, ngazi ya diploma. Then ajekusoma accountancy degree? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
936 Views
Salaam! Kwa mwenye nayo msaada please. Shukran
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kuna mdogo angu amemaliza kidato cha sita na anataka aombe chuo. Ila kozi anayoitaka inaitwa bachelor of Science in Insurance and Risk management. Hii inahusu nini hasa ili nikamuelekeze dogo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu naomba mwenye application forms za hicho chuo kwa alienazo naona kwenye website Yao ipo lakin haijakamilika.. Msaada tafadhali
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Angalia na chagua kozi inayoendana na vigezo na uwezo wako!
9 Reactions
74 Replies
15K Views
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linapenda kuwaarifu wote walioomba kujiunga na kozi mbalimbali za afya kwa ngazi ya Cheti (Astashahada) na Diploma (Stashahada) kupitia Mfumo wa...
1 Reactions
14 Replies
9K Views
Ndugu naombeni kuuliza,! Ni sifa ipi ya mhitimu anayetakiwa kujiunga chuo kikuu mwaka hu!? Awe na D 2,au C 2?! Katika kusomea coz ya Ualimu.Na pia,C inaanzia ngapii,41/50!! Na D ngapii, #Natumain...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
Jamani naombeni msaada nataka jiunga na morogoro teachers naanzaje msaada please nahitaji procedures choga
0 Reactions
2 Replies
551 Views
Habari zenu, bila shaka mpo vyema. Shida yngu ni kwamba jina langu lililosajiliwa 4m4 limekosewa sasa walimu wamesema haiwezekani kubadilisha labda mpaka niende kuapa mahakamani, sasa naogopa...
0 Reactions
2 Replies
655 Views
Helllo. Please. Msaada jamani nisaidieni link za kufanya application kwa applicants wapya?
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari wana jamii forum naomba kuuliza hivi ni vigezo gani vinatumika kufanya kozi hii G.P.A iwe 3.0 na nyingne iwe 3.5, ni chuo au kozi, maana kuna kozi naziona ktk chuo A ina G.P.A 3.5 , Ukienda...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamiiforumz wenzangu, natumaini hamjambo Napenda kuwafahamisha juu ya Dictionary za kutumia kwa kudownload play store. 1.Merriam-webster, Hii ni English to English...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
ndugu wana jamvi mie nipo njia panda, nimeona humu kuna watu wenye hekima na busara. Juzi nimepeleka barua yangu kwa msimamizi wa kituo cha kazi lengo ni kupitishiwa ili nipate nafasi ya kuhamia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mambo ya TCU ndio yanazidi kuvugika na na pamoja na kwamba wamenyanganywa mamlaka ya kudahili, lakini wanazidi kuchafua halo ya hewa. ni maana Bora ingefutwa kabisa
1 Reactions
5 Replies
857 Views
Back
Top Bottom