Uzi huu ni maalumu kuelezea ubora na changamoto za Chuo kikuu cha Dodoma.
Kwa maswali haya machache nahisi tutaibua hoja nyingi za msingi na sio mabishano ya chuo kipi bora.
-Yapi mafanikio ya...
Habari njema ziwe nanyi wapendwa wa jf.
Kama kichwa cha habari kinacho jieleza ni kuhusu msaada wenu wa kuweza kunijulisha chuo ambacho kinatoa mafunzo au kozi ya siasa, maana nimekuwa nikipenda...
Nimemaliza kidato cha sita coz cbg bt mepata e flat! Naweza soma coz gani za sayansi japokuwa my dream ni kusoma medical laboratory kwa diploma mana degree naona ishabuma points hazitoshi ushaur...
Kwanza nitangulize shukrani zangu kwa baraza la taifa la necta na TCU kwa kazi wanayofanya.
Matokeo ya kidato cha sita yametoka na TCU wameshikilia msimamo wao wa minimum entry requirements ni at...
Msaada ..Eti form six waliomaliza mwaka huu (2017)wanaruhsiwa kuapply NACTE tarehe ngap?? Maana nimejaribu nikaambiwa namba yangu ya form six haitambliki kwenye data base zao!
Tzjobconnection tumekuwekea listi ya vyuo 14 vilivyoanza kupokea maombi ya masomo ya degree kwa mwaka 2017/18 wa masomo, soma admission requirements na download application form*
bofya kwenye...
Hakuna Mtu Katika Dunia Hii Ambae Anafanana Na wewe
Hata Kama Mlizaliwa Mapacha Wa Kufanana Bado Wewe Utabaki Kuwa Wewe..Muda Mwingine Jifunze Kuheshimu Mawazo Yanayotoka Katika Moyo Wako Maana...
Habari wakuu
Mimi ni mmoja wa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita 2017 nakufanikiwa kupata hivi. D,E,E in C,B,G.
Niko hapa kutoa maoni yangu kuwa tunaombeni sisi wadogo zenu tuliofanikia...
*KUANGUKA KWA ASSYRIAN EMPIRE* 616-605 BC
Medes na Babylon ni miongoni mwa miji iliyokuwa chini ya utawala ya assyrian empire..
Ikatoea kwamba wanajamii wa Babylon wakaanzisha mapigano dhidi ya...
Habari wana jamii forum, mimi naomba nitoe ushauri kwa wadogo zangu mliomaliza form six na mnatamani kujiunga na chuo kikuu. Maisha ya sasa yamebadilika usiende chuo kwa kutaka sifa unasoma degree...
Samahani, kama kichwa cha habar kinavoeleza kuna mdogo wangu ahitaji kuchagua chuo kati ya UDOM NA UDSM kip kinafaa kwa utoaji mzur wa huduma ikiwemo taaluma
Post sent using JamiiForums mobile app
Habari jf
Naomba kuuliza kwa mwanafunzi wa diploma anaetaka kujiunga na degree coz ya telecom engeneering anaweza kupata mkopo na utaratibu ukoje tafadhali??
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wanandugu,
Nipo chuo fulani Hapa Tanzania Nasoma Civil Eng, sasa nataka Nihame kozi niende ualimu japo nina ufaulu mzuri kwenye kozi yangu with no sup ila najisikia sana kuwa na Hamu ya...
Habari wakuu,
Je unaposoma course za management hasa Human Resource Management inahusiano na somo la hesabu.
Maana mimi kwenye hesabu ni chenga tu. Tafadhali nisaidiani maana naweza chagua hii...
Naombeni mnisaidie Kwa yeyote mwenye current syllabus (2017/2018) ya A-level kwa masomo ya physics, chemistry na mathematics. Naombeni sana ata mniongonze jinsi ya kuipata.
Asanteni.
Post sent...
Samahani wakuu naombeni mnipe habari zaidi juu ya course hizi za afya
1. MD
2. PHARMACY
3. MEDICAL LAB
4. DDS
Hapa nahitaji ufafanuzi wa kutosha kwa kila course, ahsanteni wakuu
Sent from my...
Habarini ndugu zangu.... Nimemaliza kidato cha 4 mwaka jana nimepata one ya 11 nimepangwa shule mpya inawanafunz wachache nimepangwa comb pcb nishaurini nihame au nifanyaje..??
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.