Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu huu ni ukilza wa hali ya juu hata DDE umekosa..? PCB nae asemaje?
4 Reactions
22 Replies
5K Views
Jamana naombeni ushauri wakuu nimrchakuliwa CBA kibiti vp niende au niangalie ustaarabu mwingine maana hali ya uko siielewi elewi wakuu Sent from my G7-L01 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kama kichwa kielezavyo, mdogo wangu amepangiwa kibiti combination ya PCB, Kwenye familia kumekuwa na ubishani mkubwa wengi wao wakipinga aisende huko kutokana na hali ya usalama, sisi wachache...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Eti vipi wakubwa kuhusu Chuo cha Southern College of Tanzania? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
807 Views
Wadau naomba msaada wa maswali haya ya population. Yanahitaji nini haswaa na points zake no zipi. 1. Analyse population problems of underdeveloped countries. 2.Explain why population growth in...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Mwanafunzi aliyeongoza kidato cha sita Hassan Gwaay ni moja kati ya tunda bora la shule za kata! Nadhani sasa dharau dhidi ya shule za kata zitapungua! Cc Ritz ========== Mirerani. Hassan...
17 Reactions
104 Replies
24K Views
Hivi karibuni TCU wametoa guideline ambazo ziliandaliwa kama rungu kuwapiga madogo waliohitimu kidato cha sita kwa michepuo ya sayansi. Kiukweli vigezo vilivyotolewa si tu vinalenga kukandamiza...
5 Reactions
25 Replies
3K Views
Je hii kozi inapatikana katika vyuo gani na ina ajara kirahisi baadae? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
6K Views
hivi nyie nacte,kwa nini mtandao wenu uko verry slow na mara nyingine haufanyi kazi kabisa,sasa vijana wetu wanaotkakuomba vyuo wataombaje ilhali mtandaowenu unazingua, rekebisheni system zenu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Vipi hii kozi itolewayo arita tabora na institute of ardhi morogoro ulipaji wake wandugu mwenye uelewa na hili.
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari zenu wanajukwaa,mimi ni muhitimu wa kidato cha sita 2017 combination HGK na nimepata daraja la pili kuna mtu amenishauri nisome fuculty ya International Relation.naomba kujua je faculty hii...
0 Reactions
23 Replies
20K Views
Ni kitendawili kisichoteguka juu ya suala la uhamisho tangu msukuma akalie kiti. watumishi wanakufa kutokana na kuwa mbali na huduma, mfano wagonjwa. familia kusambaratika, wagonjwa kukosa huduma...
3 Reactions
26 Replies
9K Views
Wakuu naombeni majibu yenu, maana hili somo kwangu naliona la ajabu nashindwa kabisa niliweke upande gani, maana unaweza ukatoka kwenye mtihani ukaona umenyoosha A safi kabisa lakini majibu...
8 Reactions
83 Replies
45K Views
Hivi karibuni ilisambaa video iliyomwonyesha Waziri wa nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma, Bibi Angela Kairuki akisema bungeni kuhusu fedha za walimu wa ajira mpya, posho na nauli...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
hii video imenigusa sana ya Maisha baada ya chuo kikuu ... ukweli mchungu aliouongea jamaa. n hapo ni usa.. ambapo ni nchi ya viwanda yenye mahela kibao.... video no 2 ni japan.. napo...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Kwa anayezijua shule za advance private zenye bei poa wakuu mnisaidie Post sent using JamiiForums mobile app
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habar wana jf. Napenda kujua kwa undani chuo cha usafirishaji ktk taaluma na mazingira kwa ujumla pamoja na course ambayo ni unique kwa kada ya degreee. (Nmesoma EGM)[emoji120] [emoji120]...
2 Reactions
45 Replies
12K Views
Kwa wale waloomba na kuchaguliwa hiki chuo cha St Joseph Boko campus washaanza kujulishwa kupitia namba zao za simu. Mimi pia nimetaarifa asubuhi hii
0 Reactions
230 Replies
37K Views
Matokeo ya kidato cha 6 ya NECTA ya mwaka 2017 yamedhihirisha hilo, ambapo Kibiti Secondary imezishinda shule nyingi zenye majina makubwa zilizopo Jiji la Dar es Salaam, jiji lenye viongozi...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Ni matumaini yangu mmeamka salama wakuu. Naomba kujua vyuo vya serikali vinavyotoa diploma za uwalimu. Msomo ya mwanafunzi husika ni CBA. Amefaulu kwa division III ya 13. Nitashukuru sana...
0 Reactions
16 Replies
13K Views
Back
Top Bottom