Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
ARE YOU A GRADUATE AND LOOKING FOR FULLY FUNDED SCHOLARSHIP IN MASTERS/PhD? MICHIGAN STATE UNIVERSITY WILL CONDUCT A RECRUITMENT FAIR ON 22nd JULY, 2017 AT INSTITUTE OF SOCIAL WORK. IT IS...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
BUNGENI DODOMA: N/ Waziri TAMISEMI Jaffo asema wahitimu shahada za sayansi ambao si walimu kupatiwa mafunzo wakafundishe, walimu wa ziada sanaa kupelekwa msingi Kuna wasiwasi walimu wa sanaa kuwa...
3 Reactions
134 Replies
31K Views
Vyuo vikuu hapa Tanzania haviko aggressive and proactive katika kujitangaza tofauti na vyuo vya Kenya na nchi nyingine. Vyuo vya nje viko active sana kujitangaza kwenye social media na media...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana jamii.
0 Reactions
5 Replies
954 Views
Naombeni ushauri kwa course zifuatazo ipi nzuri na yenye soko wadau SUA ::Bsc of agronomy ,::Bsc in biotechnology and labaratory science ::Bsc in agricultural education UDSM :: Bsc in molecular...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana jamii. Naomba msaada. Kijana wangu amehitimu kidato cha sita Ifunda tech lkn matokeo yake hayapo. Amewekewa E* E*__________. Je manaake nini ? Na ili kujua tatizo nianzie wapi...
0 Reactions
4 Replies
783 Views
Hello JF. Mie naona hii system ya kuwapa nafasi watoto kwenye matokeo yao kuwa wamekuwa wa kwanza,wa pili au wa mwisho darasani ifutwe,haina maana kabisa,imagine unakuwa wa mwisho Feza Girls...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakuu kwa ufaulu wa Economic "D" geography "E" Mathematics "E" Zm(EGM) three ya point 14. akasome kozi gani kwa ngazi ya diploma, kozi itakayokuwa na urahisi na mgawanyiko sehemu nyingi za kupata...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Shule ya sekondari Magufuli ni moja kati ya shule ambazo hazisikiki sana kwa sasa kutokana labda na sababu mbalimbali nmejaribu kuangalia matokeo yao mbalimbali ya miaka iliyopita na kulinganisha...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Jamani karibuni nyote tukumbushane yale yote tuliyopitia meta secondary school, mi binafsi namkumbuka mwalimu MWANGOKA, MAHENGE NA JOB karibuni kwa visa na vituko. Post sent using JamiiForums...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kwanini boys wamefanya kawaida angali girls wao wamefanya vizuruli still wao ndio wana kaskkash nyiingi za ratiba za maisha. JE BOYS WAMEKUWA MA BISHOO SAANA??? AU M. BET ZIMEZIDI AU SOCIAL...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jina la Mh linazidi kung'aa hii shule ya jina lake hamna 0 hamna IV. S4605 MAGUFULI SECONDARY SCHOOL DIV-I = 8; DIV-II = 59; DIV-III = 16; DIV-IV = 0; DIV-0 = 0...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Mwenye kujua shule yeyote ya serikali ninayoweza kumhamishia mdogo wangu yupo kidato cha pili, naona nikimleta huku karibu yangu itakua rahisi kumsaidia kimasomo. Shule isiwe mbali sana na eneo...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari wakuu, Natafuta chuo cha maswala ya Afya kwa hapa Dar es Salaam kinachotoa kozi kwa nganzi ya Diploma, nursing, pharmacy, clinical medicine na zinginezo, mwenye kuvifahamu anitajie. Post...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Link hi hapa http://www.tamisemi.go.tz/noticeboard/tangazo-1070-20170715-Matokeo-ya-Kumaliza-Kidato-cha-Sita-na-Ualimu-2017/ACSEE2017/indexfiles/index_a.htm Soma Pia Matokeo mengine kuanzia...
1 Reactions
6 Replies
9K Views
Kama kuna kitu huwa kinaumiza vijana wengi wanaokua wememaliza elimu ya upili kwa upande wa sekondari mara baada ya matokeo kutoka huwa ni kujua atasoma nini, atasoma wapi na je anachotamani...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
kwanza hongereni kwa kuhitimu kidato cha sita na kufauru kwa waliofauru. karibuni sana ktk ulimwengu wa wasomi..kwa bahati ambayo sio nzuri mmehitimu ktk kipindi ambacho muda mlioutumia shuleni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau Naomba msaada ni kozi gani ya UCHUMI ni nzuri kwa mtu wa EGM..??
1 Reactions
10 Replies
8K Views
tafadhari sana, naomba yoyote anayejua chuo cha private kinachodahili wanafunzi wa diploma ya shule ya msingi. aidha kwa sasa mwanangu yuko katika chuo cha ualimu cha private kinachotoa ngazi...
0 Reactions
15 Replies
14K Views
Shule ya sekondari Makumira inayopatikana maeneo ya Usa River jirani na chuo kikuu Makumira kimetapeli baadhi ya wanafunzi akiwemo ndugu yangu, walikua wanasoma hapo kama school candidates lakini...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom