Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
#Based_On_My_Experience As the clock ticks me off this merciless world, my head bulges to a point I'm afraid to keep on containing these emotions, ideas and thoughts that have all this time been...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavojieleza naomba msaada kuhusu ulipaji ada chuo cha udom yani unalipia kwa semester au unalipa yote kwa pamoja..... Natanguliza shukrani wakuu.
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Kwa masikitiko makubwa Naona AZANIA wapo Kati ya shule kumi zilizoshika mkia, sijui ni nini kimewapata hii shule hapo zamani ilitambulika Kama Kati ya shule bora Sana ya serikali. Post sent...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Hivi ni kwa nini chuo kikuu hamna tuition? Aisee napenda sana kuhudhuria vipindi vya tuition kuliko vya shuleni sijui itakuaje kwa kweli Shuleni mimi ni doja mzuri ila tuition ni mhudhuruaji...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ivi course ya Bsc in petrolium chemistry ina soko jaman nataka niombe je mnanishauri vipi???????? Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama kuna kitu huwa kinaumiza vijana wengi wanaokua wememaliza elimu ya upili kwa upande wa sekondari mara baada ya matokeo kutoka huwa ni kujua atasoma nini, atasoma wapi na je anachotamani...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
The Secret Teacher: 'action short of strike' lets down students – we have to find a better way
0 Reactions
0 Replies
496 Views
Ha ha ha ngoja nisubirie jina langu chuo cha MUHAS chuo kinachoeleweka Tz. Wengine wanasubiri second selection ila bora hawa kuliko wanaosubiri diploma hawa ndio, tuliwashauri wasome wakawa...
2 Reactions
51 Replies
6K Views
Njoo kwimba elimu msingi nije morogoro wilaya yoyote.0754-384094 Post sent using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Kutokana na website ya NECTA kuelemewa pata matokeo ya kidato cha sita na ualimu kupitia tovuti ya TAMISEMI Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017 | PORALG - Tanzania
2 Reactions
6 Replies
13K Views
Assalam alaykum, naomba kuuliza, nimesoma degree ya account. Je master land management nitaiweza? Na je ina calculation nyingi? Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimepata History E, Geography S na English D nishauri naweza soma coz gani Post sent using JamiiForums mobile app
1 Reactions
4 Replies
534 Views
kama kichwa cha habari kinavyosema hapo nimeona watu wengi wakipata shida kuangalia matokeo kwa kuwa link zinasumbua please fuateni link hii ni ya haraka mno ana hamtapata shida kabisa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nipo kwenye mtandao kabambe. Kwa wale wanaosumbuka, Nitajie jina la shule na namba yako nikupe matokea.
0 Reactions
91 Replies
22K Views
Amani iwe kwenu,naomba kuuliza ivi kuna course ya degree ya madawa kwa upande wa mifugo kama ilivyo pharmacy kwa upande wa binadam?na kama ipo chuo gani wanatoa,tafadhali naomba kufahamishwa kwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji kufahamu jinsi ya kuangalia top 10 ya wanafunzi waliofanya vizuri kwenye matokeo ya FORM 6.. au kama kuna mwenye hiyo link ya kuangalia naomba atume
0 Reactions
14 Replies
22K Views
Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017 | PORALG - Tanzania
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau kuuliza si ujinga.Kwa wale mlio jikoni kuna jipya mwezi huu?Wanadai patrol zinafika halmashauri tarehe hizo.Wadau tujuzeni kama kuna jipya
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Karibuni wote kwa nafasi za masomo ngazi ya Certificate na Diploma ya Takwimu. Katika CHUO CHA TAKWIMU MASHARIKI MWA AFRIKA- DAR ES SALAAM- CHANGANYIKENI. Sifa za kujiunga. .Certificate -...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za asubuhi Wadau, Vipi kuhusu tetesi za matokeo ya Kidato cha sita yatakuwa online lini?
0 Reactions
143 Replies
29K Views
Back
Top Bottom