Habari ndugu
Kwa anaejua kuhusu kujiendeleza kielimu kwa mtu ambaye ana degree ya nursing
atajiendeleza katika part zipi na zipi ???
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Habari za mda huu ndugu zangu wana JF. Nahitaji msaada kutoka kwenu wadau wa elimu. nina wadogo zangu wawili wako mwanza mmoja anasoma kidato cha pili na mwingine anasoma kidato cha kwanza...
Baada ya kusikia serikali imeajiri lab technician 137 katika shule za secondary
kichwa changu kimeibua swali na sijui niende ofisi zipi wao watanipa majibu ya swali hili ....
Swali lenyewe ni...
Habari wana jamvi,
Nina dogo langu kachaguliwa kwenda hio shule,nimefanya utafit sijafanikiwa kuifaham vizuri japo napata faraja matokeo ya nyuma ya shule sio mabaya,yeye kachaguliwa HGL,
Nani...
Kwa sisi tuliomaliza kidato cha sita mwaka huu 2017_
Wengine wetu hatuna uelewa mpana kuhusu uchaguaji wa kozi za kwenda kusoma chuo kikuu
Tumeshazoea tuu kwa walio soma PCB ni kuomba tu...
Habari za sasa wanajukwaa .. naomba msaada kwa mwenye uzoefu juu ya kuomba kusoma CPA kwa watu tulio mikoani, je form zinazojazwa ni ngapi? Mpaka sasa nimejaza registration/exemption form na...
Habari za mchana wanagenzi, habari nilizonazo mpaka sasa kutoka uongozi wa serikari ya wanafunzi chuo cha madini dodoma(M.R.I.S.O) ni kuwa mpaka sasa kumekuwa na sintofahamu ya field kwa wanafunzi...
1. Mentee :- I can’t find free time. Life has become hectic.
Mentor :- Activity gets you busy. But productivity gets you free.
__________
2. Mentee :- Why has life become...
Albert Einstein na u Genius wake wote ule hakufanya english NECTA ya kwao huko lakini bado akaishia kupata div(lll)... We kama bado unadhani A zako ndio akili basi PAMBANA NA HALI YAKO!!
Habari ya muda huu ndugu zangu
Kama mada hapo juu inavyoeleza,Kwa wale tuliojaliwa mwaka huu mwezi wa nne kwenye halmshauri mbalimbali hapa nchini limekuwepo tatizo kwenye halmshauri nyingi...
Katika hizo course mbili hapo nini tofauti yake katika usomaji wake?
Na kwa mtu mwenye D-chemisty, D-physics na C-Biology inaingia hapo kweli? kwani pananichanganya kidogo!
Naomba ushauri na...
Hello, I just wanted to request your views on if I could be able to study B.SC Information and Communication Technology. I took HGE combination in A level and passed BAM.Thanks, in advance.
Habari zenu humu!!
Naomba kufahamishwa kama kuna anayejua humu kuhusu uhamisho wa mtoto kidato cha tano.
Mwanangu amepangiwa shule ya Arusha sec iliyoko Arusha mjini kusoma EGM, sasa hii shule...
Khabari wana JF, nilihitaji kujua kuwa kwa mtu aliyesoma combination ya PCM anaweza kusomea nini hapa bongo na hatimaye kupata ajira kwa haraka.
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Naombeni msaada wa kielimu, mdogo wangu kamaliza kidato cha sita EGM , ni kozi gani na vyuo vipi anastahili kwenda kusomea?
Naje?
Anaweza kwenda kusomea pilot au geology akati hana D ya...
Wakuu nipo katika harakati za kujifunza Computer lakini sijaelewa vizuri kuhusu maana na kazi za Microsoft Powerpoint na Excel.
Mwenye ufahamu na hili msaada tafadhali.
Wakuu nawasalimu kwa heshima zote!
Nataka kwenda masomoni, lakini nataka niache ualimu nikasome sheria, ni madhara gani yatanipata katika kutimiza hili?
Nawasilisha
Sent from my TECNO W4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.