Wasalaam...Kama tujuavyo vyuo tajwa hapo juu ndio vyuo pekee katika Tanzania yetu ya viwanda vinavyotoa elimu ya ufundi kwa ngazi ya diploma na degree.
Kwa kuwa wanafunzi wanaosomea fani za...
Husika na mada tajwa hapo juu, Naombeni msaada wa material yafuatayo:
FOUNDATION Level
Quantitative Techniques, Business and Management, Accounting,Business Information,Business Law.
Pia...
Kama wewe in mhitimu wa kidato cha 6 au diploma holder unahitaji chuo chenye elimu bora na ya bei yenye nafuu kuliko vyuo vyote Tanzania MUM ndio chaguo sahihi. Million moja na laki mbili tuu ndio...
Wakuu,
Naomba kujuzwa kozi za afya zinazotolewa hapo chuo cha peramiho au naomba mawasiliano ya chuo hicho msaada wana JF.
Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
Ndug wana JF natumai mu wazma,,, mim ni mwanafunzi wa chuo cha uuguzi Kibosho (KIBOSHO SCHOOL OF NURSING)
niko mwaka wa kwanza ngazi ya cheti (CERTIFICATE IN NURSING) nimemaliza muhula wa kwanza...
Wakuu habari?
Mimi ni kijana miaka 20 kilichonileta humu najua kuna wadau mbalimbali wa elimu wanaweza kunishauri kwa kinachonisibu nilimaliza form four mwaka 2015 ila sikuweza kuendelea na form...
Wakuu habari?
Swali je kuna madhara gani unaweza kuyapata pindi ukidrop advance na kwenda kusoma diploma mbalimbali kama za afya,biashara pindi utapotaka kujiunga DEGREE...
Kama heading inavoeleza kufanya application lazima upitie nacte ambapo wanataka uwe na cheti au results transcript.
Ila hivyo vyote havijatoka na deadline ni tarehe 20 mwezi huu.
Kuna njia gani...
Baada ya TCU kutangaza fursa ya elimu ya juu kupitia progamu maalum ya Recognition of Prior-Learning (RPL) kwa ambao wana dip, cert, baada ya uzoefu kazini watu waliojitokeza kua apply kupitia...
Habari wana JF
Samahani jamani naomba kujua zaidi kuhusu chuo tajwa hapo juu kuhusu changamoto na mazingira kwa ujumla ili nijipange mapema maana nimechaguliwa hapo kwa Course ya Information...
Jamani wadau wa cbe,namba kujuzwa kujiunga na chuo hiki kwa waliomaliza for six before 2013,naona wanasema akiwa na subsidiary ya pcm,PCB anaingia,au akiwa na second class diploma ni kweli
Sent...
Natumai mko poa sana,
Ki umri ni kijana wa makamo (early 30s) mwajiriwa na serikali yetu Tukufu ya Jamuhuri. Kwa elimu ni graduate wa chuo kikuu.
Katika safari yangu ya maisha nimepitia mengi...
Habari za mchana wana forum, mimi ni mwanafunzi ninaye tegemea kumalizia degree yang ya kwanza katika chuo cha Sua katika bachelor of Science in Agricultural Economics and agribusiness mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.