Naandika hii habari kwa masikitiko makubwa,kama tunakumbuka miezi kadhaa iliyopita Serikali ilifanya zoezi la kuhamisha walimu kutoka shule moja kwenda shule nyingine huku wakisema kwamba hilo ni...
Jana 9-10-2017, katika kipindi cha “This Week in Perspective” – TBC – kinachoendeshwa na Adamu Simbeye, waliongelea kuhusu Vitabu Vibovu vilivyoandaliwa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE).
Kati...
Jamani hivi hizi shule binafsi hivi ni kigezo gani wanatumia kupanga hizi ada kwa mikoa mingine ukiondoa Kigoma na Bukoba?Nina kijana wangu anasoma huko Tanga shule binafsi,tena shule ya msingi...
Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyoonekana...wizara ya elimu itatoa lini majina ya waliopata scholarship za nchi mbalimbali ikiwemo China? maana nimesikia utaratibu siku hizi ni...
Habari za wakati huu wanajf..?
Niende moja kwa moja kwenye mada.!!.
Kwa matokeo haya naweza kusomea course ipi ya afya?
Chemist-B
Bios-B
Eng-B
Maths-C
Geo-C
Kisw-C
Hist-D
civics-D
Naomba utoe...
Uchunguzi wangu unaonyesha vijana wenye Div 1 na 2 wanakacha kwenda form five na kwenda vyuoni hasa vya utabibu, kulikoni?
Sent from my HUAWEI G730-U10 using JamiiForums mobile app
Hellow kwa wale wote ambao wanajihusisha na uandishi Wa novel, plays na poetry napenda tusaidiane kwa ambae labda ana uelewa ni kiaje naweza kudhaminiwa ili kitabu changu kiwe published na kisomwe...
Kama heading ilivyo naomba kujua kuhusu hii allowance inayotelewa ya 950 TL Serikali ya Uturuki, je inatosha kwa matumizi kweli, kwa mtu mwenye majukumu mengine nyumbani?
Hello team,
Nimeokota bahasha yenye vyeti vya Sunday Lameck, vyeti vyenyewe ni:
Cheti cha kuzaliwa number 000464555 kilichotolewa mwaka 09/11/1989
Cheti cha mafunzo kutoka FPCT YOUTH CENTRE...
Naombeni mnisaidie kupata mawasiliano ya chuo cha ufundi veta Chang'ombe kwaajiri ya kujiunga na masomo kozi ya umeme jamani kwa yeyote anayeweza kunisaidia nikapata plz.
Kwa ufupi
Kwa sasa bodi inaandaa mwongozo wa utoaji mikopo kwa mwaka ujao, mwongozo huo unatarajia kutangazwa rasmi wakati wowote kabla ya mwisho wa mwezi huu wa Julai.
Dar es Salaam. Bodi ya...
Kuna dogo amechaguliwa kwenye hizi post za form 4 kwenda njoss, lakin pia aliApply nacte coz ya clinical medicine kwa hiyo anasubiri majibu NACTE.
Kwa kua akichaguliwa chuoni masomo ataanza mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.