Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
JE KWANINI KUWA NA MPENZI ZAIDI YA MMOJA AU ZINAA IMEKATAZWA?SOMA HADI MWISHO KUJUA SABABU *KISAYANSI* Ndani ya manii mna kitu gani kitaalamu. Ndani ya manii mna vitu vikuu vinne: • PROTEIN, •...
11 Reactions
62 Replies
12K Views
Kwa mtu aliyesoma HGE anaweza kusomea vitu gani chuoni na kazi zipi anaweza akazifanya?
0 Reactions
43 Replies
39K Views
Asalaam wana JF; Nipo njia-panda wadau nisadieni jinsi ya kupata joining instruction ya form five ktk shule ya Borega - Mara. Kuna blog fulani najaribu ku-download inagoma. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu nawashukuru sana kwa ushauri wenu kiukweli nilikuwa nimekata tamaa ya kufaulu kutokana na theory niliyojiwekea ya kuwa ni ngumu ila baada ya wadau mbalimbali kutoa ushauri nimeamua...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Waungwana naomba anaejua anijuze gharama za review classes kwa board ya PSPTB...
0 Reactions
4 Replies
691 Views
Naomba anayefahamu kuhusu facult hizi anipe mwanga BAGE, ADM, BAPA na PSPA
0 Reactions
2 Replies
787 Views
Mimi hapa mpenzi wa sanaa hasa maigizo na ngependa hata kwenda kusoma chuo cha sanaa. Kama unajua course ambazo ni nzuri ili nitimize ndoto zangu hebu nakuomba basi brother&sister & mather and...
0 Reactions
6 Replies
969 Views
Habari za Wakati huu wana Jamii, nimechaguliwa na TCU kufanya mtihani wa RPL ambao utafanyika jumatatu ya wiki ijayo 10th July, Kwa wenye experience na huu mtihani naomba msaada kujuzwa ni aina...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu Mimi Nina mtoto wangu anakaribia kuanza Shule...Nilikuwa napendelea asome Shule ya binafsi ya msingi yenye matumizi ya lugha ya kiswahili, maana naona Shule nyingi ni lugha ya kingeleza..je...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari za usiku JF.... Naomba kusaidiwa na wahusika hapo juu, naulizia Shule ya serikali iliyopo Ilala ambayo haibani sana watumishi kwa maana kuwa baada ya kutekeleza na kukamilisha majukumu...
4 Reactions
27 Replies
6K Views
Habar wana jf naomba kujua deadline ya kufanya application kwa ngaz ya diploma TIA
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kujua ni lini TCU watatoa majina ya watu waliofuzu kufanya mitihani ya RPL?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Eb tukutane hapa tuikumbuke shule yetu![emoji575]
1 Reactions
9 Replies
4K Views
1.0. UTEUZI KIDATO CHA 5 – AWAMU YA PILI 2015 Ufaulu wa watahiniwa Kidato cha Nne kwa mwaka 2014 kuanzia daraja la Distinction hadi Credit yaani GPA ya 5.0 hadi 1.6 ni watahiniwa 73,754...
3 Reactions
407 Replies
155K Views
Mfumo wetu wa elimu tuanoutumia huwa unanipa maswali mengi sana kwa sababu walengwa wa mfumo huu hautujengi kuwa na wazo mbadala zaidi ya ajira serikalini na pia hata ukipata wazo la kujiekeza au...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana JF naomba mnifahamishe ni tahasusi ipi nzuri kimasilahi katika masomo ya sanaa!
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Kwema wana Jf...? Nilikua na omba kujulishwa vyuo vinavyo toa course ya mining,oil and gas kwa ngaz ya degree. Na je... M2 aliye soma HGL advance anaweza kusoma course hiyo au..?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wastani aliopata ni civics D, History D, Geography D, English C, zilizobaki zote ni F Je, huyu Veta atapokelewa akiapply course gani, kama anaweza soma course yoyote ni ipi nzuri kwa wakati wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mdogo wangu amesoma HGK ni course gani itamfaa kuendana na soko la ajira nchini naomba ushauri.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana JF, Naomba niende kwenye mada nataka kuwa fundi wa gari langu ndogo je itawezekana kwa kujifunza kozi ya ufundi miezi 3. Je ni wapi wanatoa kozi hiyo kwa muda huo, asante kwa...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom