BEST TANZANIAN UNIVERSITIES: Latest Rankings 2016.
1 University of Dar Es Salaam
2 Sokoine University of Agriculture
3 Muhimbili University of Health and Allied Sciences
4 Mzumbe University...
Kwa hizi combination za A-level yaani Eca, Egm, hge, hgl, hkl, pcm, pcb, cbg, cba, cbn, ipi ngumu Kufaulu kirahisi? Na matokeo yanaweza kukugeukia muda wowote?
iPhone 6s
Nimemaliza diploma in general agriculture na nimepata GPA ya 4.5 pia certifcate nilikua na GPA ya 3.6 matokeo yang ya o- level hst E, Eng E , Chemst D , bios C, Math E ,Geog E, Civcs E ,na kiswahl...
Wakuu baada ya matokeo kutoka juzi na vijana wengi inaonekana hawajafikia vigezo vya TCU, kuanzia alama nne!
Kuna dogo wangu kasoma PCB ana S D E, sasa inabidi aombe diploma kwa kutumia...
Habari wanajf..
Lengo la kuanzisha thread hii mimi kijana wa kitanzania mwenye upendo wa dhati na hii nchi sasa kwa kipindi cha muda mfupi nimefikiria kuwa mwandishi wa makala na vitabu...
wadau mwenye kufahamu kuhusu kozi ya elimu au inayohusuana na elimu ambayo mwalimu wa grade A wa shule ya msingi anaweza kujiendeleza na kupewa ruhusa ya malipo kwa mwaka huu atujuze taphadhali.
Naomba kuuliza gharama za kuapply zikoje na zinalipwa kupitia account zipi, na je kila chuo utakacho omba utatakiwa kulipia tena au utatumia slip moja ya malipo kwa vyuo vyote ?
Sent from my...
Habari zenu mabibi na mabwana,nahitaji muongozo.Ni hatua gani tunafuata kuomba chuo kikuu hasa sisi wenye diploma za ualimu.Kuna taarifa nilizisikia kwamba wenye diploma inabidi tutume matokeo...
Naomba msaada kwa waliosoma bachelor of science nursing ajira zake zikoje kwa mtu aliemaliza degree maana sjawahi kuona tangazo la kazi zikiwahitaji hawa watalaam na inachukua mda gani kusoma hii...
FINLAND NA ELIMU YAO
1. The school system is 100% state funded.
2. All teachers in Finland must have a masters degree, which is fully subsidized.
3. The national curriculum is only broad...
Wakuu nawasilisha, husika na title hapo juu;
i)Udom imefanikiwa kutoa graduates wa mambo ya ICT but still website ya chuo haileweki and sometimes unreachable
ii)Udom kozi ya udaktari...
Wakati wa kuchagua programs na vyuo vya kwenda kusoma ndio huu. TCU mwaka huu kwa kiasi fulani wamebadilisha vigezo vya kusoma programs za afya hasa MD, DDS na Pharmacy.
Tunapotoa ushauri kwa...
Wadau ningependa kufaham kati ya Bachelor of science in insuarance and risk management na Bachelor of science in Tax management ipi ni course nzuri kwa pale IFM, kwa sabab nimefaul nmepata dv two...
Kwa matokeo haya walimu mnafanya nini? Ni mfano tu wa shule za serikali!
S5145 MIONO SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 8; DIV-II = 46; DIV-III = 106; DIV-IV = 15; DIV-0 = 5
and many many others!
Hello guys nimeitim form four this year,
Nina history C, English C, physics D, chemistry D ,biology D, math na agriculture F na mengine yoote ni D wakuu vipi hapo nitaweza kwenda
Post sent using...
Habari nahitaji kwa aliepata viwango vya kutunuku matokeo ya acsee 2017 necta kila mwaka lazima watoe ila mwaka huu sijaona
Sent from my Vodafone 875 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.