Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa... Nauliza kuhusu hii Diploma ya ANIMAL HEALTH AND PRODUCTION, ina bachelor degree hapa Tz hasa pale nyumbani kwetu SUA.. Au Nikiwa na Diploma...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
nmemaliz form form mwaka jana na kupata div 4:27 je nnawez kusomea nini na nini au mnanishaur nfanye nn??????? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
613 Views
Habari wakuu.. Samahani mimi ni mwanafunzi nimeaplly course za afya kwa ngazi ya diploma swali langu masomo ya clinical medicine yamekaaje na changamoto zake ni zipi je upatikana wa GPA upo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wana Jf naomben mnisaidie juu ya kujua cfa za kujiunga n vyuo mbli mbli vya ustaw wa jamii na baada ya kujua hyo naomb mnifahamishe vyuo hvyo vinahusian na nn na nafas za ajira baada ya kumaliza...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari zenu wana jukwaa, Mimi ni muhitimu wa kidato cha 6 mwaka 2017 HGK combinion.Naomba ushauri ni faculty gani ya arts ambayo nikisoma naweza kujiajiri mwenyewe au kuajiriwa? Naomba maelekezo...
0 Reactions
2 Replies
711 Views
Habari zenu Nahitaji kufahamu shule za watoto wenye mahitaji maalum hasa upande wa akili yaani una utahira flani ila sio sana naomba kujua hizo shule kwa hapa dar iwe private au ya serikali. Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mzigo huo
1 Reactions
1 Replies
5K Views
nawakaribisha ma-engineer wote kujadili mambo ya msingi na tuweke mikakati nini kifanyike na changamoto zilizopo ili mambo ya sayansi katika nchi yetu yapige hatua. KARIBUNI KUTOA maelekezo hapa...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
*vita vya adwa* Hivi ni vita vilivopiganwa kati ya Ethiopia na Italia, mnamo mwaka 1896. Kwa wakati huo, ethiopia ilikuwa ikijulikana kama "Abyssinia" na ilikuwa ikiongozwa na mfalme menelik wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Vyuo Vyatakiwa Kutuma Majina ya walimu watarajiwa kwa masomo yote kwa wale wahitimu 2015/2016 na wale wa mwaka 2016/2017 Bofya hapa Breaking News: VYUO VYATAKIWA KUTUMA MAJINA YA WALIMU - ARTS...
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Wanaohitaji 'tuition' kwa masomo ya physics, chemistry, biology Na basic mathematics kwa 'form one' mpaka 'form four', au 'tuition' ya masomo ya physics, chemistry Na biology kwa form 5 & 6...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kozi za Vyuo Vikuu Zilizo Idhinishwa na TCU na NACTE 2017/2018 ziko www.tcu.go.tz, kama kozi haimo kwenye orodha hiyo basi ujue haitambuliki Usiiombe.
1 Reactions
7 Replies
10K Views
Habar JF Kama kichwa cha habari kinavyojifafanua ningependa maelezo juu ya hii course kwa kuangalia vigezo, chuo na ushauri kiujumla Karibuni waungwana Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa mtu yeyote anayefahamu vyuo vya ualimu vya serikali vinavyo pokea maombi ya Diploma ya secondary kwa sasa. Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Anayejua vyuo vya private vinavyotoa kozi ya ualimu wa secondary kwa masomo ya arts aniambie nataka kufanya application Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naomba sifa ya hichi chuo coz nataka kwenda kusoma Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Samahan nakuomba toa ufaham wako ili tuende sambamba mkuuu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba mnisaidie kupata past paper ,hata km itakua na gharama nazihitaji sana ndugu zangu..hist,geo,eng,math,gs,econom,,1&2
0 Reactions
6 Replies
894 Views
Naomba kujua college of agriculture Udsm inatoa diploma msaada wadau. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Jamani wapendwa, mimi ni mwanafunzi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu na kupata division three ya 14. Nahitaji msaada wa kuendelea na elimu sababu naishi kwenye maisha magumu. Walau nipate mtu...
1 Reactions
21 Replies
8K Views
Back
Top Bottom