Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wana jf.... Habari za wakati huu naomba kujua kuwa KWA watu wa uhasibu kuna bodi mahususi kwa ajiri Yao bodi ya NBAA ambayo ina mfumo wao wa kujiendesha ... PIA kuna bodi au school of...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za mda huu wadau... Naombeni mnisaidie, nina rafiki yangu ana diploma ya ualimu, na result slip yake inaonesha ana GPA ya 2.9, lakini kwenye cheti ameandikiwa PASS. Sasa anahitaji akasome...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba kufahamishwa nilini mnufaika wa mkopo wa elimu ya juu uanza kulipa mkopo wake baada ya kuhitimu?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ninatarajia kusoma kozi ya ualimu diploma ,kwa anae jua vitabu vinavyotumika kwenye koz hyo katka masomo ya chemia na bios anitajie plz
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu Katika pita zangu mitandaoni, nimekutana na kitu kinaitwa "online course study" hapo ndipo nikaamua kufuatilia huu mfumo wa elimu niujue kiundani lakini nimeshindwa kuuelewa na kuniacha na...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Waziri wa TAMISEMI, George Simbachawene Serikali imetangaza orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano na vyuo vya ufundi kwa mwaka 2017 huku wanafunzi 2,999...
3 Reactions
194 Replies
88K Views
Wakuu nilichaguliwa mwaka jana kusoma chuo cha uhasibu T. I. A Mbeya kutokana na kukosa mkopo nikaacha masomo, je nikiomba mwaka huu sitapata usumbufu wowote kupata chuo kingine tofauti na T. I. A
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa hatua zote za kufuata kama machapisho, hariri za vitabu na zinginezo zinazofuata baada ya mwandishi/mtunzi kumaliza kazi yake. Na mahali kampuni zinazojihusisha na mambo hayo kwa...
2 Reactions
3 Replies
785 Views
Ndugu wanajamvi habari za jumapil. Naomba kupata picha kamili ya maisha ya Uganda kwa mwanafunzi anayeenda kujiunga elimu ya juu, tujikite katika bei za vyumba, vyakula, usafiri, na mitaaa rafiki...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
habari wanajamvi! nimekuwa sina ueleewa mpana juu ya uwanja wa kujiajiri kupitia fani ya mechanic engineering zaidi najua mtu wa mechanic anaweza kujiajiri kwa kuwa fundi magari tu....je kuna...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Ndugu wanajf amani iwe kwenu! Naomba msaada wa learning materialz ya CPA katika masomo ya C1 corporate reporting, C2 auditing and assurance na C4 public finance and taxation II. Mwenye kunisaidia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale ambao wako interested kujiendeleza kielimu in the U.S. The Office of Public Affairs of the U.S. Embassy is pleased to announce that we are now accepting applications from qualified...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu msaada wenu. Ni course gani nzuri kwa sasa ntakayo weza soma kwa mimi nilie soma masomo ya arts secondary ? Kisw C English C Civ D Bio D History D Geography D Math F
2 Reactions
17 Replies
5K Views
June 27, 2017 Iringa, Tanzania Chuo Kikuu cha Iringa ni moja kati ya vyuo vikuu vyenye sifa za kipekee Tanzania Makala hii fupi inakielezea Chuo Kikuu cha Iringa, zamani Chuo Kikuu Kishiriki...
0 Reactions
7 Replies
11K Views
Habari wakuu naomba kujuzwa kuhusu mkopo wa elimu pspf kwa mtumishi anayetaka kujiendeleza kimasomo utaratibu wake ukoje .
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu zangu kwa wale wanaohitaji kusoma nje ya nchi na kuhitaji kufanya mitihani tajwa hapo juu naomba tuwasiliane kupitia namba 0712672210 na 0756047277 kwa maelezo zaidi. hakika mshikeni sana...
2 Reactions
30 Replies
8K Views
Shule binafsi zinapata soko kubwa sana nchini kwasababu watoto wanatiliwa mkazo kujua kiingereza. Siyo hilo tu hata chekechea siku hizi walimu wa mitaani wamegundua wazazi wanhitaji kiingeleza...
0 Reactions
1 Replies
836 Views
Naomba kujuzwa kuhusu hii course waungwana
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Naomba kuuliza mie nimemaliza form six mwaka 2010, je cheti changu bado kitakuwepo shuleni au huwa vinarudishwa NECTA? Asanteni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
HMimi ni kijana niliyepangiwa shule ya kilwa sekondari kwa masomo ya kidato cha tano tatizo linakuja siijui kwa chochote naombeni wakuu mnipe mwongozo kuhusu hii shule kuanzia mazingira(uhuru)...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom