Wakuu,
Naomba msaada wa kujua masomo ya distance learning ndio inakuwaje??? Inahusisha masoma ya aina gani na mtu anaweza soma vipi? Ina uzito wowote katika maeneo ya kazi ama inatambulika na...
Habari wanajf! Naomba kufahamu kama TIA tawi la Dar ( Kurasini) kama wanatoa fungu (fedha) la field ama la kwa mwaka wa pili, Accounting kwa mwaka huu, kwa wanachuo wenye mkopo wa asilimia 80...
Ni muda mrefu sasa tangu serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kusitisha uhamisho wa watumishi wa Umma. Na katika kipindi hicho chote watumishi wamekuwa ni kama wako gizani kwani wanasubiri...
Habari zenu wana JF, poleni kwa mihangaiko ya izi siku tatu kwanzia jumatano ,alhamis na leo ijumaa.
Mimi nilikuwa naoma mnipe elimu kuhusu ili neno naliona kila kona ,snapchat,facebook, twitter...
Habari zenu wakuu, Swali langu ni kwamba inawezekana kufanya udahili hata kabla ya matokeo?
Maana baazi ya watu wanasema mwisho wa udahili ni 13/08/2017
Habari wakuu. Naomba msaada wa kufanya analysis ya time series data. Mimi ni mwanafunzi wa degree ya pili katika chuo chetu pendwa (department ya economics). Si kwamba sijui kuzifanya kabisa...
Jaman mimi ni kijana aliyehitimu kidato cha nne mwaka Jana ila nilimalizia Uganda na nimeleta matokeo Yangu necta nkapata equivalent results na nkapata dvn 2 ya hapa Tanzania sasa mzazi wangu...
Kwa yeyote mwenye mtoto shule ya wasichana Masasi bila shaka atakuwa anakumbuka vitimbwi vya huyu headmistress jeuri, kiburi, asiye na heshima na kauli chafu kama amemeza choo.
Mama huyu akitoa...
Wakuu habari za usiku huu naomba mwenye uelewa juu ya vijana waliojiunga na jkt kwa mujibu wa sheria maana hapa Niko kwenye wakati mgumu kijana wangu alipangiwa jeshi kwa mujibu wa sheria na...
Naomba msaada kwa anayefahamu shule nzuri (Private Schools) ya kidato cha tano katika masomo ya sanaa katika mkoa wa Dodoma,Kagera,Manyara,Tabora na Morogoro.Ni vema ukanifahamisha ada ni kiasi gani.
HALI ya usalama kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Tosamaganga wilayani Iringa mkoani hapa leo ilikuwa tete baada ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia kulazimika kutumia mabomu ya machozi kwa...
KWA WALIOSOMA TOSA, au wale ambao wameshafika, majengo yake ni mazuri sana, kwanza ukiondoa yale mabati ya juu, ukapiga vigae vya udongo vyekundu, nyumba zile zinafanana sana na nyumba za desturi...
Habari za majukumu ndugu zangu,sorry sana kwa usumbufu,but nilikuwa najaribu kutafuta mawasiliano ya chuo cha nursing tosamaganga iringa,kama namba za simu kwa ajili ya kutaka kujua ada...
Nimeona baadhi ya matangazo ya baadhi ya vyuo vikuu ya kukaribisha maombi ya kujiunga na vyuo vyao kawa mwaka 2017/18.
Kuna taarifa muhimu hawatoi zinazomwezesha mwombaji kufanya maamuzi.
Taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.