Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kuna kitabu kimoja chenyewe jina lake silijui lakini muhusika alikuwa anajina la kibantu,na alipokuwa anasoma akajibadilisha jina na kulikatisha jina lake na kujiita BANTA GONTUMBA,alipoanza kazi...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nimefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na chuo cha st. Joseph pale Songea jiran kidogo na mji hivyo naomba wa Jf mliopo songea tufahamiane kwan m natokea Moshi na ni mgen. Natarajia kusafir kwenda...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Katika utafiti wangu mdogo sana nimegundua kuwa 99% ya wale Wanafunzi ambao Mashuleni na Vyuoni walikuwa na Sifa ya Kutukuka kuwa ni Wapiga chabo / Waibiaji kwa wenzao iwe katika Test au Exams...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama ni mwanafunzi, au unatarajia kusoma mambo ya siasa
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Heshima na iwe kwenu wakuu, Pls ningependa kufahamishwa ni chuo kipi ambacho kipo vizuri zaidi katika masomo ya clearing and fowarding hapa jijini Dar na hata gharama zake zikoje kwa level ya...
0 Reactions
5 Replies
12K Views
Kichwa cha somo chahusika
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa kwa anayefahamu jinsi ya kujisajili kufanya mtihani wa RPL 2017/2018
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habati za wakati wanajamvi? ama baada ya salamu napenda ku share na wana JF wenzangu materials kwa combinations tajwa hapo juu waweza pitia hayo materials by the time being nimeanza na kipart cha...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Tumezoea sana kutumia neno "darubini" kwa maana ya kifaa kinachotumika hospitalini kwa ajili ya kuchunguzia vijidudu. Lakini ukweli ni kwamba, hiyo si "darubini" bali ni "hadubini". Tazama picha...
0 Reactions
19 Replies
12K Views
Wanajamvi naomba ushauri wenu niliomba chuo nacte mwaka jana na liichaguliwa ila sikwenda na mwaka huu nataka kusoma chuo kingine kwani kile cha awali nilishindwa kutokana na uchumi na matatizo ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwanini baraza la mitihani Tanzania(NECTA) halina matawi katika majiji achilia mbali kuwepo mikoani yani ili nibadilishe cheti changu nahitajika kusafiri mpaka Dar
1 Reactions
11 Replies
967 Views
Kama alivyosema Nyerere, tutachimba madini yetu tukiwa na uwezo. Uwezo ni training our people in that capacity! Tuache PhD za traditional Doctrinal research method. angalia huyu hapa chini:PhD...
0 Reactions
1 Replies
647 Views
Kuna watu wanasema kuwa lugha ya kufundishia kwenye mfumo wetu wa Elimu iwe Kiingereza kwa sababu Kiingereza ndo lugha ya dunia na uandishi wa vitabu mbali mbali na ugunduzi wa technologia...
2 Reactions
228 Replies
43K Views
Naomba mwenye namba ya mwl mkuu wa shule ya sekondari Mkolani anisaidie nina shida ya haraka.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomben mnisaidie ni vigezo vipi MTU anatakiwa awe navyo kuweza kupata course ya civil engineering kwa mm naesoma PCM advance
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji orodha ya shule za sekondari wilayani sengerema.
0 Reactions
0 Replies
405 Views
Wakuu habari zenu, Natafuta jinsi ambavyo NECTA wanapanga mashule na hatimaye kupata shule iliyofanya vizuri kuliko zote. Pia nataka kujua namna ya kucalculate average school GPA. Kama kuna...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada ni chuo gani kwa Tanzania naweza kupata training ya Oracle Database ya uhakika na nikafanya pepa ya certification.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nipo hapa nyumbani naendelea kuisogeza siku hii ya tarehe 01.01.2017. Ghafla nikaikumbuka shule hii ya sekondari Milambo iliyopo mjini Tabora,takribani kilomita 2 tu toka kituo kikuu cha mabasi...
9 Reactions
139 Replies
26K Views
Back
Top Bottom