Wakuu habari zenu!;Hili jina(Ndalichako) nlitokea kulifaham Kiundani na kusmbua akili yangu nkiwa Form Six nikijiandaa na mitihani baada ya kutuchanganyia madesa !!Hivi tangu Awe madalakani...
Kwenye Kiswahili hakuna neno "kupelekea".
Hili ni moja ya maneno yaliyopata mashiko siku hizi
lakini ukweli ni kuwa hiyo ni "broken language".
Mfano:
1. Tatizo hili limepelekea kila mtu...
Ukiwa na swali lolote au ukihitaji msaada katika kiswahili kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita unaweza ukasaidiwa hapa kadri itakavyowezekana.Ningependelea sarufi kwa mrejesho wa haraka.
NAFASI YA CHUO KWA WAHITIMU WA KIDATO CHA NNE/ SITA
Contacts: Lemburis Kivuyo 0755646470 NDALA, SHINYANGA: PLOT NO. 91, BLOCK HH
Postal Address: P.O. Box 1016, ShinyangaWebsite: Email...
Katika mambo ya utawala na menejiment (administration and management), kuna istilahi mbalimbali zinazohusika ambazo huenda hazijajulikana kwa wengi. Kwa mfano:
1. Mrejewa – referee...
Jamani mwenzenu nimepotelewa na vyeti vyangu vya taaluma,ninaweza kutengenezewa vingine?
wadau kama mada inavyosema,nimepoteza vyeti vyangu vya kidato cha nne na sita.
Je nawezaje kuvipata,ni...
Habari za jioni, mko poa? Jumapili shwari? Bas fresh!! Swali langu ni hili, Mimi ni muuzaji wa Umeme kupitia selcom, sasa wanaonunua Umeme ni watu tofauti tofauti, swali liko kwenye usomaji wa...
Habari wanajamii na poleni kwa mihangaiko ya kila siku katika kuliendesha taifa.Shida yangu kubwa ni kwamba mwaka jana niliomba chuo kupitia kwa kutuma maombi nacte ila kwa sababu za kifamilia na...
Naomba kujuzwa hivi hawa wanafunzi waliochaguliwa awamu ya pili na hawajapangiwa shule wala combination (tahasusi) je watapangiwa kabla ya muda wa kujiunga kidato cha 5 haujafika? Ama wanasubiri...
Heri ya Ekaristi takatifu.
Mimi ni Mwl wa Geography na Philosophy.
advance nimesoma EGM,
nikapangwa shule ambayo haina Mwl wa hisabati hivyo nikajitolea kufundisha hesabu f1-4!
sasa tarehe...
nina diploma ya crop production na napenda kuwa engineer wa irrigation,kuna vyuo viwili vinavyo toa bachelor hiyo ingawa ziko tofauti. vyuo Hivyo ni ATC cha arusha wao wanatoa BACHELOR OF CIVIL...
Habari wana jamvi
Nauliza vyuo gani bora kwa kozi za kilimo kwa mwanafunzi anayetaka kusoma certificate ya general agriculture?
Pia namna gani rahisi ya kupata ufadhili wa serikali ukiangalia kwa...
Na mdogo wangu amechaguliwa PCB sina Joining instruction, msaada tafadhali kwa anaye fahamu mahitaji ili niweze kufanya maandalizi,tarehe ya kuripoti ni july 2014.
1. Electromagnetism:
*It look time and patience to learn this properly, and even then, I'm confused when to use the left-hand rule. But it's more interesting than other topic definitely
2...
Mwaka huu naona kam utaratibu ume badilishwa kwa sababu kwa miaka mingine flat C kwa masomo ya science en D ya math ilikuwa ni kawaida bt mwaka huu kuna watu wamekosa nafasi za kuchahuliwa kusoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.