Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Bila shaka wana Usagarian Mpo na mnapita hapa JF.Kupitia kona hii mwaga data unakumbuka nini juu ya shule hii.Mfano binafsi nakumbuka ushirikiano miongoni mwa wanafunzi na walimu,je wale waliokuwa...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari za mida wakuu, wakuu nina ndugu yangu amehitimu kidato cha nne kwa mwaka 2015,alipata iv ya 26, je kwa wakati huu anaweza kukubaliwa maombi katika chuo ualimu wa primary cha serikali?
0 Reactions
0 Replies
417 Views
Ndugu ikiwa mtu aliomba ualimu s/msingi kupitia nacte akachaguliwa lakini akashindwa kuripoti lakini anataka kuaply upya mwaka huu afanyeje?
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Heshima kwenu wanajukwaa! Kuna binamu yangu amepangiwa mchepuo wa PCM shule ya Tosamaganga, sasa shida yake iliyonifanya kuleta uzi anaomba kujua vitabu gani vya kununua kabla hajaenda shule...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wakuu salama? Najaribu kufikiria je kuna mtu kampuni au watu wanaofundisha topics mbali mbali za CPA final stages kwa njia hii ya CDs? Kama bado walimu wa reviews hii ni fursa kwenu. Kama...
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Watanzania wanajua nini kilitokea baada ya ripoti ya uhakiki wa vyeti vya taaluma yani kidato cha nne na sita kutolewa ikiwa ni baada ya kusitisha ajira mpya, nyongeza ya mishahara, kupandishwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari za leo jamani. ninahitaji msaada wa mawasiliano ya moja kwa moja wa shule ya Nyakahura Secondary. kijana wangu kachaguliwa huko.
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Husika na kichwa cha habari. Ni mdogo wangu namtafutia Chuo cha ualimu kwa ngazi ya cheti, kilichopo angalao karibu na mji wa Dar es Salaam
0 Reactions
17 Replies
15K Views
Wadau anayeifahamu vizuri shule ya Mwinyi high school naomba anielezee
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Pesa hii ni haki yao lakn mpaka sasa wanaanza mwezi wa pili makazini bila kulipwa pesa yao ya kujikim serikal inafikiria nn juu ya hili?? kwenye tangazo la ajira lilionesha matumaini kua pesa ipo...
0 Reactions
1 Replies
713 Views
Wakuu, salaamu. Kwa wale waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano 2017/2018 katika shule ya sekondari Bukongo iliyopo wilayani ukerewe, chukueni joining instruction letter hapa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kuna mwl.wa bachelor degree anatafuta kazi ya kufundisha kwa shule za sekondari. Anahitaji msaada wako, ikiwa unahitaji au unafahamu shule yenye uhitaji wa mwalimu.Masomo anayofundisha ni HISTORY...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa anaeifaham shule ya babati inayopatikana Manyara Tanzania nataka kufamu detail zake 0762362526 naomba tuwasiliane kwa namb hio
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Taasisi ya *Pamoja Foundation* inatangaza nafasi za ufadhili wa masomo ya kidato cha tano kwa mwaka 2017 kwa wanafunzi waliotimiza vigezo vifuatavyo: 1. Awe amehitimu kidato cha nne katika shule...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna kipindi Mungai akiwa waziri wa Elimu aliunganisha baadhi ya masomo. Baadaye Yale masomo ya chemistry na physics yakatenganishwa tena. Baada ya kutenganisha kylitoka Waraka naombeni mnisaidie...
0 Reactions
1 Replies
659 Views
Naomba kuuliza jamani hivi musoma utalii collage ipo vizuri ktk kozi ya ualimu ngazi ya cheti???
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Samahani wakuu,, kuna mdogo wangu amechaguliwa kwenda form five kwa mchepuo wa HGK Ruvu girl's high School Lakini yeye anataman asome science mchepuo wa CBG na tayari ameishasoma tuition yamasomo...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Sijui kama na wewe unapenda mashairi (poetry) kama mimi. Ngoja nikuwekee shairi moja la William Blake liitwalo A Poison Tree, yaani Mti wa Sumu. Nimejaribu pia kuweka tafsiri yake kwa Kiswahili...
0 Reactions
0 Replies
656 Views
Pana blog moja inafomu za mwak Jana ni feki Ni upuuzi kuweka files za zamani Na kubenefiti downloads Nashauri wanaodownload fomu za kujiunga fv waachane na fomu za mtandaoni tena blog isiyo...
0 Reactions
2 Replies
942 Views
Wanafunzi wa kidato cha sita waliohitimu mwaka huu May 2017 takribani 14,747 sawa na asilimia 23.2%, wamepangiwa katika vituo mbalimbali vya Jeshi kati ya wahitimu 63,623, wanatakiwa kufika...
0 Reactions
78 Replies
45K Views
Back
Top Bottom