Wakuu mbona course ya community health kila nikiangalia hamna Diploma yake wala degree napata mashaka kuapply maana bado sijaielewa kama kuna mtu anaifahamu kiundani anisaidie
Ni walewale fortress academy waliofanya vizuri na wanaendelea Fanya vizur kuwezesha vijana kufanya vizur kwenye masomo yao...
Sasa tumewaletea tena vitini special for advance kutokana na...
Habari wana jf
Ni matumaini yangu sote tunaendelea vizuri na majukumu yetu mbalimbali yanayotukabili. Lakini pia hatukosi muda wa kukutana hapa jamvini na kupeana mambo kadha wa kadha.
Leo hii...
Habari za muda huu wanajukwaa,
Kama kichwa cha thread kinavyojieleza,naombeni mnisaidie juu ya suala nzima la kutuma maombi KIST.
Je,ni kwa barua,kwenda moja kwa moja chuoni au vipi?
Sijaona...
Habari wadau naimba kuuliza tu!
Mimi ni mgeni wa hesabu yaani nahisi kama sijaumbiwa kusoma hesabu, je kwa wale wazoefu naomba kuuliza mahesabu yapo mengi kwenye kozi hii kwa sababu naipenda sana...
Salaam,
Kijana wangu Kachaguliwa Kujiunga Kidato Cha tano Shule hii Kusomea Mchepuo wa HKL.....
Kama Kuna yeyote anae ifahamu while hii anisaidie yafuatayo:
1. Je, shule ni ya mchanganyiko?
2...
Je awamu ya pili ya wanafunzi wa kidato cha tano watakaochaguliwa kwenda kusoma watachaguliwa wote kama walivyoowaorodhesha??
Kama wote ni muda gan watawapanga hawa awamu ya pili???
Natafuta shule ya private A-level yenye comb zifuatazo:CBG,CBM,EGM Zilizopo Rukwa au mbeya ikibidi na gharama zake kwa bweni.Msaada please nataka kupeleka wanafunzi.
Wakuu wenye uwelewa wa material ya THL anieleweshe juzi nimetumia saiv naambiwa nilipe account expired. Inakuaje wakat natumia online bando langu linaisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.