Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari zenu wakuu, naomba mwenye ufahamu kuhusu hiki chuo cha ija(Institute of judiciary administration) anitonye...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari za mida, naomba kujuzwa nia na madhumuni ya serikali kwa kufanya hivyo kwa mwaka huu maana wanafunzi wingi ninao wajua ambao walijaza kutaka kupelekwa vyuo vya ufundi wamepata tena kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
MHE. RAIS VITABU VYA TAASISI YA ELIMU NI VIBOVU KWELI Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi iliunda tume ya kuchunguza ubovu wa vitabu vya Taasisi ya Elimu na kwa nini ilitokea hivyo. Mhe...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
MHE. RAIS VITABU VYA TAASISI YA ELIMU NI VIBOVU KWELI Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi iliunda tume ya kuchunguza ubovu wa vitabu vya Taasisi ya Elimu na kwa nini ilitokea hivyo. Mhe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salaam wakuu? Natumaini ni wazima Naomba mnijuze juu ya kozi hizi ~transport and logistic ~iformation technology ~land evaluation Katika maswala ya priority ya Mkopo, chuo husika, changamoto...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari za majukumu wana jf?? Rejea kichwa cha Habari hapo juu Nilikuwa naomba kwa yoyote mwenye taarifa kuhusu hii shule anijuze... Maana kuna ndugu yangu kapangwa hapo na alitamani sana kupata...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam wakuu? Naomba kujua mambo muhim ya kizingatia katika kufanya application za chuo juu ya I'll kupata kile ninacho kia apply na kuepuka competition katika coz ninayo hitaji wakuu...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Tuliambiwa UJENZI itakuwa umekamilka Machi na leo ni Juni. Uchaguzi wa wanaoingia darasa la 13 umefanyika na haionekani kama hizi shule zimepangiwa watu. Wahusika wa haya mambo mazuri watusaidie
1 Reactions
1 Replies
894 Views
Morning umu ndani! Jamani naomba kuuliza nawezaje pata kile kitabu cha course za vyuo vikuu Tanzania au ni zipi course nzuri ambazo dogo anaweza kusoma kwa watu wa arts apart from education...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
wakuu kwa mwenye ufaham wa contact hzo anisaidie
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JF toka selection zimetoka mpaka Leo kichwa changu hakijakaa sawa, shida nilo nayo ni kwamba nimepangwa PGM ifunda tech lakini asilimia kubwa ya walimu ya shule nilomalizia wananambia...
0 Reactions
107 Replies
26K Views
Wanafunzi takribani 67 wameteseka kwa kukosa mkopo muhula huu mpaka sasa wakipigwa dana dana za hapa na pale kutoka kwenye uongozi wa chuo na bodi ya mkopo kutokana na janga hilo imewalazimu kutoa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, heshima kwenu! Nina mtoto wa mdogo wangu anasoma hapo UDSM mwaka wa kwanza. Alibahatika kupata mkopo, lakini namlipia malazi. Kinachonishangaza ni kwamba tangu semister hii ianze mpaka...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Bonyeza link kuyaona TAARIFA KWA UMMA JKT IMEONGEZA ORODHA YA MAJINA YA VIJANA WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA MEI 2017 KWA AJILI YA KUHUDHURIA MAFUNZO YA MUJIBU WA SHERIA MWAKA 2017
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kwa anayefahamu tarehe rasmi ya kuripoti BUKONGO sec school iliyopo Mkoani mwanza, ukerewe Kwa maana kwenye join instruction yao hawakuandika tarehe ya kuripoti na ukisema usubir mpaka ziletwe...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nipo serious nakumbuka nilikuchagua raisi wangu Alafu usiniajiri kwa Kweli utakua hujanitendea haki rais wangu japo Sina chama Ila nilikuamini Sana raisi wangu Naomba uniajiri kama Mimi nilivyo...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Ni chuo kikuu kipi hapa Tanzania kinatoa digrii ya physical education? Mwenye kifahamu tafadhari
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwenye hizi syllabus naomba anitumie hapa kama pdf tafadhal nina shida nazo...nitashukuru sana ndugu zangu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nawasalimu wakuu nakuwatakia amani na salama kutoka kwa yule mnae mwamini. Kama mnavyojua,mwishoni mwa wiki iliyopita NACTE ilifungua dirisha kwa waombaji katika kada za ualimu na afya. Nikasoma...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Bila shaka hatujambo humu, Niko na shida ya mahitaji ya barua ya kubadilishana kituo( particulars) ni vitu gani hasa huambatanishwa, na pia nianzeje (steps) tafadhali kwa yule aliyewahi kuandika...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Back
Top Bottom