Kuna kijana hapa mtahani ila amesoma tuition advance na alimaliza 4m 4 mwaka 2011 sasa anataka afanye mtihani wa six je atumie utaratibu upi aweze kufanya mtihani?, na je atafanya kama PC au SC...
Naangalia RAUKA KIDS Citizen Tv , Kenya, these small kids are so fluent in English mpaka naona wivu wa maendeleo. Je sisi watoto wetu wanashindwa wapi? Kama wazazi/walimu tunakosea wapi?
Ndg wanajukwaa kuna ndg yang mmoja ni mwajiriwa lakini mhitimu wa form four 2010, anataka kusoma Advanced level huku anaendelea na kaz, Je inawezekana kusoma tuition then akaenda kufanya mtihani...
Mimi kama raia wa kawaida nimegundua kuwa baadhi ya wanaojiita wasomi hapa bongo wengi wao mikononi wanavyeti kichwani wamejaa sex! pamoja na hayo haya mambo ya vyeti vyeti hayajawahi kumuacha mtu...
Habari jamani, hivi nifanyaje nikitaka kupata idadi na mahali ilipo listi za mizani ( weighbridges) ipatikanayo nchi za africa mashariki kwa kutumia mtandao, maana nimegoogle mpaka vidole vimeota...
Habarini wapendwa, poleni kwa shughuli za kulijenga taifa. Nadhani kichwa kinajieleza vizuri.. Nina ndugu yangu amepagiwa combination ya EGM sasa yeye anataka kwenda kusoma CBG, naombeni mwenye...
Nimemaliza form 4mwaka 2016 nakupata 2 ya 20 MATOKEO NI KAMA IFUATAVYO ,chemistry C,biology,B, Phisics C,EnglishC,GeographC,kiswahiliC,CivicsC,historyC,MathF
Je kozi ya clinical medicine...
mimi nimehitimu kidato cha nne 2015 na kupata ufaulu wa Div III.25 CIV D ENG C PHYS D HIST D CHEM C KISW D BIOS D GEO D B/MATH C nikaomba ualimu wa shule ya msingi ktk chuo cha kumbukumbu ya...
Naomba kuuliza Tz ina shule za serikali zenye kidato cha tano na sita ngapi? Maana kwenye kumbukumbu zangu kwa waliochaguliwa
advance 2013 na 2014 walikuwa chini ya 53,000 na
55,000.Hapo wenzao...
Habari zenu wakuu.... Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka jana, ninapenda kujiunga na fani ya uhigadhi wanyama pori katika chuo cha wanyamapori MWEKA au PASIANSI. Nimeshafanya application...
Habari wakuu..
Kuna binamu yangu kamaliza four 4 mwaka jana, Hivyo anapenda mwaka huu ajiunge na chuo cha mifugo (LITAs) ili asome astashahada ya Animal health and Production.
So mwenye infos...
Nitangulize salamu kwa wakuu wote wa jukwaa hili la elimu,
Bila kupoteza muda nilikuwa naomba msaada wa mawazo juu ya hili
Kuna dogo mmoja amemaliza kidato cha nne mwaka Jana ila matokeo yake...
Natafuta database ya wanafunzi
1. Form four
2. form six
3. Chuo.
Database iwe na taarifa zifuatazo
1. Jina la mwanafunzi
2. Anuani ya Posta
3. Mkoa
4. Wilaya
5. Namba ya siku.
6. Email
7. Shule...
Mfumo wa udahili wa pamoja kwa njia ya mtandao ulitengenezwa kutokana na tafiti zilizofanyika kuhusu manufaa yake katika kuwapunguzia wanafunzi na wazazi gharama za kutafuta, kuomba, na kujiunga...
Amani ya bwana iwe nanyi nyote!
Kwa wale tuliobahitika kusoma utawala wa awamu ya tatu kushuka chini,endapo ungepata fursa ya kutoa maoni ya kupendekeza hadithi zinazostahili kusomwa level ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.