Habari za muda huu wakuu,
Bila kupoteza muda,nina mpango wa kusomea stashahada ya Civil Engineering kwenye chuo chochote cha Serikali.
Lakini tatizo ni ada zao,siwezi kujilipia kabisa labda...
Habar zenu wadau.
Nimemaliza bachelor ya Uchumi mwaka 2016 hapa Mzumbe.
Natamani kusoma Masters ya Afya (Masters of Science in health economics and Policy managrment) na katika kutafuta ndio...
Jamani kwa yeyote ambae ama amesoma au anapafahamu Makiba Secondary School naomba anijuze wakuu ikoje kitaaluma na mazingira kwa ujumla. pia kama wewe ni miongoni mwa waliochaguliwa Makiba sec...
Nimefanya utafiti kidogo Juu ya utendaji wa Wasomi wa kitanzania.Walio wengi wanaamini alichojifunza Chuoni ndio atakachokifanyia Kazi. Ukweli uliopo sio., matokeo yake wasomi hao wamekuwa...
Jamani nimesikia habari kwa baadhi ya walimu wa Lushoto mara hii mkurugenzi wa wilaya hiyo amezuia likizo na walimu wanaendelea kufundisha kama kawaida mpaka Tar 23/6/2017 ndio wafunge na...
Natanguliza salam waungwana kwenu nyinyi, kwanza mimi ni new member nilie hitimu mtihani wakidato cha sita mwaka jana(2016) katika combination ya pcb ambapo nlipata alama kama zifuatazo katika...
Wakuu niaje!
Nahitaji msaada mwenye vitabu vya mathematics Form Two, three na Four vya hapa Tanzania au kenya au uganda anipe msaaada plz navihitaji zaidi ya sana.
Asanteni
Kwa waliosoma Mbeya university of science and technology mwaka 2000 hadi 2006 Kipindi hicho ikiitwa Mbeya technical college (MTC) naomba kwa aliye na matokeo ya FTC mwaka 2004 anisaidie.
TANGAZO MUHIMU!
TCU imetambulisha mtihani unaoitwa "Recognition of Prior Learning(RPL)" kwa wale wote waliokosa vigezo vya kujiunga na degree
Mtihani unafanyika chini ya TCU kwa vituo...
Salaam wana JF,
Kama mada inavyodokeza, mimi niliwahi kuajiriwa serikalini kama mwalimu wa secondary kwa muda wa miaka minne. Baada ya hapo niliomba ruhusa ya kwenda masomoni kujiendeleza. Mara...
Hii ni kozi ambayo ipo Under VETA.Admission requirements At least uwe na Pass 1 ya somo lolote.Utafanya LEVEL I,LEVEL II AND LEVEL II.more information 0755 459 049
Wakuu habarini za asubuhi...!!!
Nina shida ya kupata chuo cha afya au ualimu kwa ngazi ya cheti. Matokeo ni div four point 27, nina F ya Physics, D ya Chemistry na C ya Biology. Nilitaka kupitia...
Habari za muda wanajukwaa!
Bila kupoteza muda,nimepitia Guidebook ya NACTE kwa upande wa kozi za Engineering na kukuta vigezo na maelezo juu ya ada za kozi tofauti tofauti.
Nimeangalia KARUME...
Naombeni tuchangie hatma ya TCU juu ya kufutwa kwake..
----------
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameiagiza Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kutowachagulia vyuo...
Habari yenu, Serikali kupitia wizara ya elimu na mafuzo ya ufundi imefanya selection ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu special diploma UDOM ambao hawajachaguliwa kidato...
Naombeni Msaada wa maelezo zaidi.
TCU wametoa hili tangazo
Invitation to apply for recognition of prior learning (RPL) Examinations as a pre_requisite to join degree programmes into higher...
habari...sio mara ya kwanza kupost humu jukwaani... nimehitimu kidato cha 4 mwaka 2011 kipindi hicho wazo langu lilikua kusomea kozi ya utangazaji wa radio na tv yaan kua Mwandishi wa habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.