True Ink Associates would like to Announce that the Third CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Classes is scheduled to commence on Monday 20/04/2015, and it will be conducted in...
Ili kuongeza Ufaulu wa Mwanao kwenye Somo la Hisabati (Mathematics) kwa aliyeko shule za Msingi fanya mambo yafuatayo:
1. Hakikisha unamsimamia vizuri mtoto wako afahamu kwa kuzishika kichwani...
Nimekuwa nikifuatilia ndege za abiria utakuta zinaendeshwa na marubani 2 .ni kwann ? Je dereva mmoja akifa njiani yaani angani je mmoja awezi ongoza ndege? Na kwann usikani wa ndege ni wavipande...
Nin div 3
English c
Kiswahil c
Math f
Engineering science d
E.engineering d
Elec science d
Elec drafting c
Elect installation d
Chemistry d
Civics d
Ni chuogn cha ufund nitachokupata
Sasa Imewekwa wazi kwamba wahitimu wa shahada masomo ya sanaa matumaini yao kuajiriwa
ktk shule za serikali ni kama Ngamia kupita katika tundu la sindano.
Tangazo la kwamba kuna ziada ya waalimu...
Sisi kama walimu wa sanaa tuliokua tunasubr ajira mpya tumesikitishwa sana kwa kubaguliwa na ajira kutoka tu kwa walimu wa sayansi. Ni bora serikali ingesema toka January 2016 kwamba ajira itakua...
1. Wahadhiri
Hawa ni wasomi na walimu wa wasomi wa elimu ya juu. Ni watu wenye uwezo mkubwa kiakili. Wamejielekeza kwenye tafiti. Utafiti usio rasmi unaonyesha mapungufu makubwa ya wasomi hawa ni...
Msaada: Mtu aliyesoma HGE a'level,pia akiwa na Dip in Educ,BA-Geography&Environmental Studies and MSc. in Natural Resoures Management anaweza kupata Postgraduate Diploma in Geomatics hapo ARU?
Leo ndio hule mchakato wa kupiga kura ya kuchagua viongozi mbalimbali katika chuo kikuu cha Taifa /makao makuu ya vyuo vikuu Tanzania-UDOM unaanza kupitia programu ya mtandaoni ya wanafunzi udom...
somo la hesabu limekua chukizo Kwa wanafunzi wengi dunia nzima, hali hii huwapa ugumu walimu WA somo hili kwakua wanafunzi hulichukia sana. Mwalimu Mmoja huko afrika ya kusini ameamua kutumia...
Waungwana nina binti yangu kamaliza kidato cha nne mwaka jana 2016,kafaulu vizuri masomo ya sayansi.
Nimeona nijiongeze tu kumpeleka shule ya private kwaajili ya form five.
Nilijitahidi mwezi...
Tume ya vyuo vikuu Tanzania imetoa tamko rasmi juu ya mfumo mpya wa udahili kwa mwaka wa masomo 2017/2018 kama ilivyoagizwa na Mh. Rais.
Tazama HAPA
------
Unaweza kushiriki mjadala wa...
Habari za asubuhi wapendwa. Mara nyingi nimekua nikijiuliza utofauti uliopo baina ya chuo huria ambacho unasoma ukiwa nyumbani na vyuo vya serikari na binafsi ambavyo mwanafunzi anaingia darasani...
Hbr wadau
Mimi nina ndoto za kwenda kusoma nje hasa mataifa ya ulaya na Asia.
Kwa mwaka huu nimekwisha omba vyuo vingi hasa Australia, Norway, UK na China.
Changamoto kubwa kwz vyuo vya ulaya...
Nimestushwa na taarifa ya serikali kutaka kujenga chuo kikuu kingine cha Kilimo katika mkoa wa Katavi, kama ilivyoandikwa kwenye gazeti la Majira la leo. Sababu ya mstuko huo ni hali mbaya ya vyuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.