Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kijana amemaliza Form4 anataka aje asome degree ya Comput. Science au ICT. Ana njia mbili moja ni kupitia Ordinary Diploma na nyingine kupitia Form6 (Advance). Je hisibati za diploma ni msingi...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kumekuwa na hii tabia ya watu kuwa wanafiki saàna kuhusu swala la walimu wa Sanaa kukosa ajira....imefika hatua eti mtu aliyepata division 4 ya kubahatisha nae anakucheeka bila kufikilia alikuwa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
"Hakuna mtu aliyezaliwa akimchukia mwingine eti kwasababu a rangi yake, au asili yake au dini yake.Watu hujifunza kuchukia, na kama wameweza kujifunza kuchukia, wanaweza kufundishwa kupenda, kwa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wasomi naomba mnishauri plz Kati ya hizi kozi ipi ni nzuri nisome kwa lengo la kujiajiri Au kuajiriwa? Nahitaji mchango wa mawazo yenu waungwana plz. 01. Bachelor of law 02: bachelor of social...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tujifunze kidogo, sio kila wakati siasa Embed this infographic on your own site
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Ndugu wanajamii nilikua nahitaji kujua topic muhimu katika masomo ya PCB. Pia na jinsi ya usomaji wake ili kuendana na muda.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Watanzania, natumaini sote tumeguswa na ajali ya Lucky Vincent na haitakuwa vyema kuisahau, maana waliopoteza watoto wao hawatawasahau na kamwe ajali hii haitafutika katika akili zetu kila...
0 Reactions
1 Replies
846 Views
Mim nikijana niliye maliza kidato cha sita nanilitaman kusoma maswala ya utalii. Ila sijajua mgawanyiko wa course hiyo. Naomba anaye faham au ambaye ana soma course hiyo anisaidie kwa ufafanuzi wa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habarini ndugu wanajamvi, ninaomba kwa mwenye modules mpya zote za C.O level 4 zilizotoka juzi (softcopies) nazihitaji sana
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tujuzane hapa updates za selections [emoji15] [emoji15] [emoji15] Form five selection ni lini jamani. Kuna shule za private zilianza masomo ya a level March, 2017!. Za serikali mpaka leo hata...
1 Reactions
42 Replies
18K Views
Kwanini WATANZANIA TULIOWENGI HATUPENDI KUJISOMEA VITABU hata Upewe BUREE?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Wananzengo(wananchi) Niende kwenye Mtizamo Moja kwa moja,Wakuu nimekua kidogo na ka ulevi ka kusoma Vitabu mbalimbali hasa baada ya kubaini kuwa elimu ipo popote na siku zote unatakiwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini wana Jukwaa, Napenda kusaidiwa kufahamu ni course gani zinaweza kuwa msaada mkubwa kwa mtu aliyesoma Bachelor Of Arts With Education (BAED) katika masoma Linguistics & Literature, katika...
2 Reactions
14 Replies
5K Views
Oxford University introduces a compulsory exam for history students featuring black and Asian affairs after protests over 'white' curriculum Oxford undergraduates will now have to take a paper on...
0 Reactions
1 Replies
699 Views
Naomba msaada wana JF, kwa wale wanaoifahamu vizuri degree ya financial intelligence sababu nataka kuisoma.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam wakuu Kuna kitu nakiwaza na mwenye kujua historia aje atuambie Ni kuhusu wanasayansi waliofanya classification( scientific classification) kuhusu miti,wanyama na wadudu Kitu ninachojiuliza...
0 Reactions
1 Replies
751 Views
Ndugu zangu Wanajamii Poleni na Majukumu Yenu ya kila siku! Lengo la Kuandika uzi huu ni kuelezea Hisia zangu kuhusu kero hii nnayokutana nayo! Kimsingi Mimi ni Mwanafunzi wa Civil Eng. Sasa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu wale waliosoma physics advance taja subtopics 2 za MECHANICS ambazo zilikuwa zinakusumbua sana .
1 Reactions
54 Replies
7K Views
Wakuu naomba kuuliza chuo cha veta chang'ombe kilicho dar es salaam kuwa usajili unaanza lini kwenye long course ya umeme na wanachukua vigezo gani vya ufaulu kwenye course hiyo
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Ndugu wana jamii forum habari za wakati huu poleni na majukumu tafadhari naomba kuwasilisha mimi ni miongoni mwa wanafunzi walioathiriwa na mfumo mzima wa mafunzo ya ualimu elimu ya msingi Mwaka...
4 Reactions
19 Replies
5K Views
Back
Top Bottom