Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nimelipa ada ya kufanya registration NACTE ya kujiunga na vyuo. Confirmatiom msg haiji. Nifanyeje.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Salamu..... Ndugu Tutors wa course za ICT kwenye college za afya, mim ni Mwalimu wa ICT niliyepangiwa kufundisha Module ya ICT kwa wanafunzi wa Diploma ya Pharmacy katika chuo cha afya hapa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
0 Reactions
50 Replies
7K Views
Wanafunzi wengi wa Primarily na Secondary wamekuwa hawafanyi vizuri katika somo la Hisabati kutokana na sababu zifuatazo. 1. Wanafunzi wengi hawajui misingi ya Hisabati kama Kujumlisha, Kutoa...
2 Reactions
4 Replies
10K Views
Kupata ninachozungumzia tafadhali angalia mpaka mwisho. .... Tulishasema huko nyuma kwamba njia rahisi sana ya kuteka mawazo ya watu ni kuteka watoto kuanzia shuleni. Na njia rahisi zaidi kufanya...
1 Reactions
0 Replies
737 Views
Huyu anahitaji kusomea Computer Science ila ana F ya Phy & Math Anaweza kwenda huyu Kwa mwenye uelewa zaidi asaidie mawazo ila pia wazo Jipya litakua bora pia Total Mark C zote exept Math & Phy ni F
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habar zenyu wakuu.. Naomben ushauri wa bure ulioboreka. In case mtu anasoma bachelor's degree... ni vyema kumaliza na kusaka job, ili kupata experience....?? AU Kumaliza hiyo degree ya kwanza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wakuu Nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne 2016 na kupata alama hizi.. b/math C kisw B Bios A Geog C Phys C Eng B Chem C civ C Add/math F anataka kusoma diploma...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Nawakilisha kwenu wakuu wangu na kama kuna uwezekano wa kusoma online
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hapa kwetu Tanzania, mashuleni na vyuoni tumekuwa tukisoma masomo mengi sana ya ajabu na magumuuuu ukiacha yale machache muhimu. Unamkuta mtu ana lundo la madaftari kwenye begi mpaka mtu...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Eti waalimu wa Arts hawaajiriwi! Kama wewe ni msomi au mwanafunzi utaungana na mimi eti walimu hata kama wa sanaa(geography, history, english,kiswahili nk) wametosha mashuleni!? Asilimia 99% ya...
0 Reactions
6 Replies
939 Views
Naombeni msaada wa kozi nzuri yenye uwezekano wa kuajiriwa kwa urahisi kwa ndugu yetu mwenye matokeo haya: CIVICS C HISTORY D GEOGRAPHY D KISWAHILI D ENGLISH C PHYSICS F BIOLOGY C MATHEMATICS F...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau habar za uzima nilikuwa napenda kuomba ushaur juu ya kozi IPI ya afya inaweza kuwa bora kwangu kulingana na matokeo haya yangu physics D chemistry C biology C English C geography C civics C...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Friends i would like to ask you about nursing and clinical assistant upgrading from certificate level is it two years or one year because is not well known/clear. Any one who know about this...
0 Reactions
3 Replies
880 Views
wanajamii binafsi nimesoma SUA, faculty of Veterinary Medicine, nimekikumbuka tu chuo bora na Elimu ya pale ilivyokua ngumu....Msuli mnene na practicals ngumu balaa....ila nashukuru Mungu niliweza...
1 Reactions
43 Replies
6K Views
KONGAMANO LA KUMBUKIZI YA WALTER RODNEY Jukwaa la Wajamaa Tanzania (JULAWATA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Soma wameandaa Kongamano kwa ajili ya kutafakari fikra na mapambano ya mwanazuoni wa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hoja yangu kwa tamisemi serikali inachelewesha kulipa mapunjo ya mishahara lakini kadiri inavyochelewa kulipa kuna charges ambazo hutozwa kulingana na muda tangu uliporekebishiwa mshahara hadi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Iko hiii kozi inashughulika na nni na vipi kuhusu ajira zake kitaa
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Habari zenu wana jamii. Naomba mnijuze kama kuna mtu anajua shule ya msingi ya serikali ya wanafunzi wanaolala shule yaani boding. Unijuze 0784999995.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom