Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jiamini, Jitambue Kuwa mbunifu Elimu ni nin? Nani aliyeelimika? Utendaji kwa ufanisi na matokeo mazuri ya ulichotenda ndio kipimo cha mtu aliyeelimika. Kuwa na vyeti vingi haisaidii kama...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Naomba kufahamu Ada ya Thaqafa high school Mwanza upande wa day na boarding na bei ya kuchukulia form.
0 Reactions
2 Replies
12K Views
Wakili yoyote mwenye harufu ya chama eti anaitwa msomi nchi hii watu wana macho lakini hawaoni,wanamasikio hawasikii, wanaubongo lakini hawaushughulishi
0 Reactions
0 Replies
856 Views
Habari wanajamvi,,, Hali ya usingizi katika chuo pendwa cha udsm sasa ni mbaya,,,,, kunguni wameondoa ladha yote ya usingizi imeisha,,, sio hostel za campus wala mabibo hali ni mbaya. Watu...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
hivi kweli mtoto kama huyu unamfanyaje ili awe sawa na wenzake?
4 Reactions
17 Replies
3K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA WA WATANZANIA RAISI WA SERIKALI YA WANAFUNZI ST. JOSEPH AFUKUZWA CHUO KWA KUTETEA HAKI ZA WANAFUNZI WENZAKE Katika hali ya kusikitisha sana na yenye...
5 Reactions
92 Replies
11K Views
Habarini wakuu humu, Bila shaka kuna ambao wameomba kusomea diploma ya clinical medicine ili waje kuwa Clinical Officers, nataka niwaase mapema, hii kozi siku hizi inakula vichwa mpaka sio vizuri...
3 Reactions
16 Replies
7K Views
Wakuu habari za uzima, nilikuwa napenda kuuliza hivi baada ya kumaliza diploma ya nursing unaweza kujiendeleza tena kimasomo ukifanya kazi kwa miaka hiyo miwili na je qualifications za kuendelea...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
What is the length of the word Crdb. Know more about this bank. | African culture
1 Reactions
1 Replies
706 Views
True Ink Associates inapenda kuwatangazia wote kuwa review class ya CISA (Certified Information Systems Auditor) itaanza tarehe 03/04/2017, Dar Es Salaam City Center.Golden Jubilee Towers, 17th...
0 Reactions
8 Replies
802 Views
Ninafikiria kuanza certificate kozi ya IT. Ninaomba kujuzwa kuhusiana na hii kozi. Je iko marketable, na jinsi ilivyo
0 Reactions
62 Replies
7K Views
Jaman wana JF naombeni msaada wenu juu ya degree ya bachelor of commerce in financial intelligence.
0 Reactions
0 Replies
559 Views
Naomba kuuliza hiki chuo kinatambulika au pesa zangu za korosho zitaenda bure? Naomba Masada wenye kujua
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Husika na kichwa hapo juu, hiki Chuo kipo maeneo ya Tegeta (karibu na Wazo) Kama kuna Mwalimu au mwanafunzi anayesoma hapo Naomba kufahamu kuhusu kozi za Ualimu zinazotolewa hapo na Mazingira ya...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wadau nahitaji kuboresha utendaji wangu wa kazi kwa kupata mafunzo ya SAP FICO (Financial Accounting and Controlling) na pia SAP Procurement (MM) modules. Hivyo nauliza kwa wenye uelewa na hizo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kuna kozi inaitwa Dental Labaratoty Technology inatolewa Chuo cha Afya Muhimbili. Naomba kufahamu uzuri wa hii kozi ukilinganisha na Clinical Medicine pamoja na gharama zake ili nifanye maamuzi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamvi Nmefanya application juzi TCU , ila nmekosa chuo. Nmesoma PCB nna point sita yaani phys D chem B na biol C. Mpangilio wangu wa vyuo ulikuwa hivi. 1.maabara (muhas) 2.environmental...
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Hongereni na majukumu wanajukwaa! Ninahitaji kujua shule nzuri ambayo ina kituo/darasa kwa ajili ya reseaters mtihani wa kidato cha nne kwa masomo yote lkn hasa sayansi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau nilikuwa kutajiwa vyuo vinavyotoa pharmacy ya mwaka moja
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habar zenu, Mimi kijana graduate Wa sheria, bila kuwachosha naomba kuuliza, kwenye ajira za serikali, ni Kazi gani anaweza Fanya law graduate bila kupitia law school ?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom