Habari
nilimaliza A level mwaka 2010 ila nilifeli kabisa. Mwaka uliofuata yaani 2011 niliamua kurudia tena ila katika combi yangu ya PCM nilipata alama E kwenye maths.
mwaka huo niliamua kwenda...
Ukweli ni kwamba Halmashauri nyingi hazijatoa pesa ya kujikimu kwa walimu wapya wa Sayansi na Hisabati walioajiriwa na Serikali mwezi uliopita (APRIL 2017)
Hali ni tete sana, ila cha kushangaza...
Mwanangu wa kike alimaliza fm six mwaka jana kombi HGK akapata S. E . D sasa anataka ku kurudia somo moja hapo, na ameng'ang'ana kabisa ,mimi kama mzazi nikamshauri asome diploma akasema diploma...
Alikua ni mwanafunzi wa engineering mwaka wa 4,amekutwa chumbani amefariki,,
kwa wanafunzi wa NIT huyu jamaa aLikua anauza chips pale best free
RIP BRO
Kufuatia mmomonyoko mkubwa wa maadili ktk nchi yetu, nashauri somo la Civics lifundishwe kwa lugha ya Kiswahili ktk shule zetu za sekondari.
Zamani kulikuwa na somo la Siasa ambalo lilifundisha...
Katika hali isiyo ya kawaida, Halmashauri ya wilaya MISSENYI imegoma kuwakopesha walimu ajira mpya pesa za kijikumu, hali inayopelekea walimu hao kulia njaa kila siku. Mwalimu wakiomba shule...
Habari wana JF.
Kama kawaida hapa JF ni shule nzuri yenye mtaala huru. Naomba kujua kama mtu amesoma ualimu Grade iiiA na anataka degree kwa kupitia open university na o level alipata iv ya 26...
Je kama mwaka jana niliomba chuo kupitia TCU nikapata lakini nikashindwa kwenda chuoni kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu je mwaka huu nikitaka kuapply tena naweza kuapply tu au mpaka...
Physics degree- Major in quantum mechanics
(FORT WORTH, Texas) — A 14-year-old physics major has become the youngest person ever to graduate from Texas Christian University.
Carson Huey-You was...
Habari za jioni wakuu..
Nimehuzunishwa sana na hiki kinachoendelea kwenye baadhi ya Shule zetu za Serikali ambazo waTanzania wengi wenye kipato cha chini ndo tunawapeleka watoto wetu..
Kuna...
Ni siku ya ijumaa serikali kupitia wizara husika ilamua kutoa orodha ya watumishi halali waliohakikiwa na majina Yao kubandikwa katika halmashauri za wilaya wanazofanyia kazi lakini jambo la...
HATIMAYE: UONGOZI WA ST JOSEPH UNIVERSITY COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY DAR ES SALAAM, WAMSIMAMISHA MASOMO RASMI RAISI WA SERIKALI YA WANAFUNZI (SOSJCET) 2017/18 NDUGU BACHUBILA HARUNA...
Napenda kuwakaribisha wasomi wote wa elimu ya juu yaani vyuo hasa wa hapa dar es salaam UDSM,venue ni Yombo 4 n 5 pale pale UDSM. Katika ibada maalumu kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa mwaka mpya...
Jamani wanajamvi sio kila siku lawama tu kwa serikali yetu ya JPM, panapo pongezi ni lazima tuseme, siku za ivi karibuni serikali imesambaza vifaa vya maabara vya kila aina ikiwemo chemicals za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.