Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu salama humu, Ivi inshu ya mikopo kwa Wanafunzi wa diploma imeishia wapi je itahusu pia watu wa Diploma wanaondelea , Course zipi zitapewa kipaumbele wakuu
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Mimi ni mwalimu idara ya sekondari nipo Iringa manispaa, nataka nibadilishane na mwalimu wa dodoma manispaa. Kwa ambae yuko tayari tuwasiliane inbox. Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
818 Views
Nimekuwa nijiuliza sana hasa huko miaka ya nyuma shule ya msingi tu unakutana na wanafunzi wakubwa yaani ni watu wazima na ukimkuta anayesoma kwa malengo ni kweli anasoma kwa bidii na hata akienda...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Ni chuo gani Tanzanian kinatoa kozi ya bioengineering na vipi kuhusu ajira ake.. Naomba mnijuze wadau
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Kama upo vizur kwenye physcs, maths, geography, na mengine wahi chuoni uchukue form
1 Reactions
1 Replies
4K Views
hatimaye yamekuwa cheki kama upo September conference
0 Reactions
13 Replies
35K Views
Wakuu, Naomba muongozo kwa anaefahamu chuo gani naweza fanya MBA jioni chenye bei nafuu naomba muongozo. Nimegoogle nimeona Kenyatta University na IAA kama kuna vingine tushauriane. Msitaje ESAMI...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Kwa Mara kadhaa serikali yetu imekuwa ikibeep kudeal na suala la udhibiti wa ada za shule za sekondari. Lakini kwa bahati mbaya umaliziaji wa suala hili umekuwa ngumu sana. Sababu moja wapo ni...
2 Reactions
3 Replies
789 Views
Wapendwa katika social networks nawasalimu kupitia Jamii Forums. Ndugu wapendwa mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20. Nimehitimu kidato cha sita mnamo mwezi huu tar. 9. Ambapo nilikua nachukua...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Leo kulikua na test watu tumejiandaa fresh kuingia kwenye paper ndani ya chumba cha mtihani kulikua na msongamano wa wanafunzi aisee yani ilionekana kama vile itakua kitonga kupata majibu lakini...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Wakubwa napenda sana kusoma masters nchini hasa Masters in Mathematics, MBA, STATISTICS, MATERIAL PROCUREMENT ama Management. naomba msaada nitumie njia/taratibu zipi kupata sponsor. NB Tumia...
0 Reactions
21 Replies
13K Views
Rejea kichw cha habari, Ameniomba ushauri anataka kuachana na ualimu wa msingi, Vipi nimshauri apigie kozi ya kada gani? Lengo lake kachoka ualimu au mnamshauri nini waungwana. Ushauri wenu ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mimi nimemaliza form four 2016 na ufaulu wangu ni physics D,chemistry C,mathematics C biology C ,english C na masomo yaliyobaki yote ni C, je naweza kujiunga na diploma ya electrical engineering...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari za wakati huu wanajukwaa, Naomba mnijulishe jambo fulani, kuhusu namna ya kufanya application kwa course ambazo sio za AFYA na education! (hizi hazifanyiki online, according to NACTE)...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari za leo wadau, naomba mwenye Qulitative Analysis guidelines.
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Samahan wadau kwa yeyote anaejua Chuo hapa tanzania kinachotea course ya MANTAINANCE AND DEVELOPMENT OF HEALTH PROJECT plz naomba unisaidie jina la Chuo na mkoa Wa Chuo husika.
0 Reactions
0 Replies
576 Views
Nahitaji mtumishi kutoka Arusha municipal idara ya kilimo aje babati DC mkoa wa manyara
0 Reactions
1 Replies
738 Views
EtI field (BTP) kwa walimu mwaka huu haipo?Naomba mwenye taarifa yoyote kuhusu hilo atufahamishe wadau
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Poleni na majukumu wakuu... Natamani na nimevutiwa kwenda kusoma faculty ifuatayo Bachelor of arts in Geography with environmental management.. nimevutiwa nayo ila sina uelewa nayo.. Mwenye...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Maisha hutupa changamoto ili kupima ujasiri na utayari wetu wa kubadilika, katika muda huo hakuna nafasi ya kujifanya kwamba hakuna linalotokea au kusema hauko tayari kuipokea changamoto hiyo...
0 Reactions
2 Replies
538 Views
Back
Top Bottom