Lazima haya yatiliwe mkazo wiki ijayo isiishe:
Ni mwaka mmoja tangu serikali ya wanafunzi wa St. Joseph ya kuanzia February 2016 hadi February 2017 ilipoandika waraka unaoanisha matatizo yao na...
1.Mjumbe hauwawi,
2.Mchochezi ni anayedharau mamlaka za nchi kwa kinywa chake kwa kusema hamtambui Waziri Mkuu bali Waziri wa elimu ndiye atakayemponya mhanga huyu na likitokea hilo atajiuzulu na...
Wadau mimi nimehitimu kidato cha nne mwaka jana,
Kwa ufaulu wa division 3 ya 25 lkn kombi zikagoma.
Naweza kupata kozi ya ualimu kwa vyuo vya serikali?
Hello JF,
Leo nilikua nawaza vile vyuo vikuu duniani, kama Cambridge, Oxford, Harvard etc wanakuwaga na mitihani ya mchujo mkali kwa wanaotaka kuingia kusoma degree zao.
Sasa mimi nahisi kuna...
Upoambiwa watu wanaacha Chuo ni kutokana na sababu nyingi tu mfano ni kwa ujinga huu..
Application form sasa baada ya CAS kutolewa ni mpaka 50,000/= mfano ni hapo chuoni..
Ada elekezi...
Ni mwaka mmoja tangu serikali ya wanafunzi wa St. Joseph ya kuanzia February 2016 hadi February 2017 ilipoandika waraka unaoanisha matatizo yao na kupelekea mgomo wao ambao ulifikia siku ya tatu...
Wakuu nauliza uwezekano wa Kusoma Telecommunication engineering Abroad Nina Ordinary Diploma ya Electrical and electronics engineering i wish to take my Bachelor Abroad je ninaweza kupata...
Kama ilivyokuwa kwenye post yangu iliyotangulia kuhusu kitabu cha Taasisi ya Elimu: Najifunza Kusoma Darasa la Kwanza Kitabu cha Kwanza, ambacho ndio kimeandaliwa kusambazwa Tanzania nzima kama...
Habari wana JF
Mimi nimeajiriwa na serikali hivyo naona umefika wakati nahitaji nijiendeleze na masomo ya chuo, sasa sijapewa nafasi ya kwenda masomoni na muda naona unazidi kuyoyoma. Naomba...
TUMEANDIKIWA "WILL OPEN SOON", HOW SOON IS SOON?
THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION
ONLINE APPLICATION AND VERIFICATION SYSTEM
Home
Login
Guidebooks
FAQ
Fri May 19 2017 04:53:43...
Naomba kujua ni kozi gani naweza kuchaguliwa ktk kozi zilizo tangazwa na Nacte kwa vyuo vya serikali,kozi ya ualimu,na afya matokeo yangu ni civ D,blg C,kiss C Engl C,cemD jiog D math f kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.