Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jamani tujuzane humu kama twajuana!!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Napenda kuwafahamisha mawaziri wetu wa Elimu Na Utumishi Juu ya Uwepo wa Watumishi waliomaliza kidato cha 4, wakasoma Certificate tu kisha wakaruhusiwa kuchukua Degree je nao mnasemaje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kuna rafiki yangu yupo chuo fulani zanzibari cha nursing anataka ahamie chuo fulani kilichopo Tanga.je kwa utaratibu wa sasa atumie njia gani kuomba uhamisho kwasababu yeye alipata chuo kipindi...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Habarini wana jamvi. Mimi nimehitimu diploma na nataka kujiendeleza na degree ya BBA katika chuo kikuu cha UDSM na ningependa kwa wanaojua utaratibu wa kufanya application wanifahamishe ili...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Jamani kama mtu anajua code za namba simu za mezani za mikoa ya kadhaa hapa Tanzania, Anitumie. Au kama una kitabu cha orodha ya simu Tanzania toka shirika la simu Tanzania Tafadhali nitumie hapa.
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Kila ninapotazama mbele –tuseme miaka 20 ijayo – kuhusiana na lugha yetu ya Kiswahili, naona tunakoelekea kama taifa si kuzuri sana. Zamani ilizoeleka utani kwa watu wa kanda ya ziwa ambao kwa...
1 Reactions
0 Replies
493 Views
Jamani naombeni ushauri mimi nimemaliza form four 2016 nimepata division two nataka kwenda chuo kuchukua diploma ya electric engineering. Je ni chuo gani ni kizuri kwa electric engineering na pia...
0 Reactions
85 Replies
51K Views
Wakubwa habari zenu at nauliza nahitaji kujiunga na chuo cha afya kozi ya clinical officer Nina ufaulu WA masomo ya PCB Kwa viwango vya CCB na math Nina D msaada wana jf
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Bonyeza Hapa kupakua majina
0 Reactions
39 Replies
9K Views
Kwanza kabisa nawashukuru sana wana jamii forum kwani mara nyingi nikihitaji kufaham au kujifunza au kupata mawazo zaidi katika jambo fulani Jamii forum inanitosheleza Mwenzenu naombeni ushauri...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Na ni chuo gani kizuri kinachofundisha coz izoapo
0 Reactions
0 Replies
568 Views
Habari zenu wakuu, Kichwa cha Habari chahusika, nashangaa kuona wadada wengi wanaomaliza kidato cha nne na kupata zero (Bashite) wanaenda soma nursing na wengn nawaona huku kwenye dispenary...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Hili swali nimekuwa nikiuliza mara kwa mara ila nashindwa kabisa kupata jibu la kuridhisha kabisa. Mimi navyoona labda kungekuwa na utaratibu wa kuruhusu wanafunzi waweze kuingia na reference zao...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
  • Closed
Walimu wa hesabati tukutane hapa kwa ajili ya kubadilishana uzoefu katika kufundiasha na kuandaa mitihani kwa ajili ya wanafunzi wa kidato 1-4 PIA Nifundisheni mimi kuandaa SCHEME OF WORK ya...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanajamvi vip sakata la vyeti serikali kuu limeishia wap?. Utasikia hoo tutatangaza tarehe 10.mpaka sasa kimyaaaa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimemaliza form 4 mwaka 2015 mwaka huu nataka kujiunga na chuo sasa naomba mnishauri ndugu zangu nikasomee course gani ambayo yenye mafanikio pindi nikihitimu huko ngazi za mbele iwe diploma au...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu kwa yoyote anayeifahamu shule ya nsongwi juu secondary iliyopo mbeya vijijini na anamawasiliano na mwalimu yoyote wa pale naomba anisaidie...wakuu naombeni sana msaada sababu na shida kubwa...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
muhali gani wanajukwaa wezangu!nimemaliza kidato cha nne mwaka 2008 takribani miaka tisa imepita.Kwasasa nimeajiriwa nahitaji kujiendeleza ila lazima nipitie A level .Je ninaweza nikamudu masomo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
========== Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amewasimamisha kazi Kaimu Kamishna wa Elimu, Nicholas Bureta na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu ya Tanzania...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom