Kikundi cha kukamilisha harakati za pale kati kilichojipa jina kali wametoa onyo kwa KIBARAKA yoyote na KIMBELEMBELE MUOGA yoyote atakayesogeza miguu yake St Joseph kesho wakati wenzao...
Wadau zangu nilikuwa nina mipango ya kufungua chuo cha security system ambacho nitatoa mafunzo ya course za
1.Electrical fence
2.CCTV security system and alarm system
3.Biometric security...
Kama kichwa kilivyojieleza naomba MTU anisaidie namba ya mwalimu wa Loyola secondary au kwa ambae anajua pale Loyola secondary kuna walimu wangapi wa physics na mathematics anijuze
Wakuu nmehemwa hapa baada ya kuona hata kusoma health records au environmental health kwa level ya cheti NACTE kupitia guidebook yao wamelazmisha biology nami skusoma biology ila nna ufaulu mzuri...
Poleni na majukumu wakuu...
Natamani na nimevutiwa kwenda kusoma faculty ifuatayo
Bachelor of arts in Geography with environmental management.. nimevutiwa nayo ila sina uelewa nayo..
Mwenye...
Me nimehitimu kidato cha nne mwaka jana,nilikuwa naomba ushauri wenu wakuu,kupitia matokeo yangu haya yafuatayo,
English B
Math C
Bios C
Geo C
Chem D
Phyz F
Kiswa C
History D
Civic D
Kupitia...
Wadau hivi nacte mbn wqmeongeza kigezo cha B/math MTU unatakiwa kuwa ma D na vipi kuhusu MTU mwenye F ya math ila phyz D chemistry C biology C na English C anaweza kudahiliwa clinical medicine...
Kutokana na ufaulu wangu huu niwaza kusoma kozi ya afya ya clinical officer au nursing kwan physics D chemistry C biology C English C math F ila jumla ya matokeo yang ni three ya point 22 na kama...
Jamani wana jamvi naombeni msaada kama kuna vyuo Tanzania vina offer degree tofauti na Open University.
Pili kama hakuna mnisaidie hata vya nje ya nchi.
Wadau nimefanya utafiti Mdogo katika suala la elimu ili kujiridhisha iwapo Tanzania tuna Wasomi au laa.
Utafiti wangu umebaini kuwa Tanzania hakuna Wasomi ila kuwa watu wanaojua Kusoma Na...
Mnamo tarehe 10-05-2017,NACTE walitoa taarifa kwamba dirisha la udahili kwa upande wa Afya na Ualimu ngazi ya Astashahada na Stashahada litafunguliwa tarehe 15-May,lakini cha kushangaza mpaka muda...
Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linawashikilia watu wawili kwa kosa la kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi akiwamo mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Nelson Matee (24) ambaye ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.